YALIYOMO KATIKA SEMINA YA JINSI YA KUANDAA HESABU ZA MPANGO WA BIASHARA | JIFUNZE UJASIRIAMALI

YALIYOMO KATIKA SEMINA YA JINSI YA KUANDAA HESABU ZA MPANGO WA BIASHARA


Kama nilivyokuahidi wiki iliyopita, Semina yetu itaanza kesho Jumatano tarehe 20 Machi 2019 saa 4 asubuhi. Siku ya kwanza kesho tutaanza na maelezo matupu na siku ya pili na ya tatu tutakuwa na ukokotoaji wa hesabu hatua kwa hatua kwa kutumia michanganuo ambayo tayari imeshatayarishwa hesabu zake. Tutakachokifanya ni kukuonyesha namba hizo zilivyopatikana na jinsi ripoti zote 3 za fedha zinavyohusiana. Hapa chini ni yale yatakayokuwemo katika semina nzima;

Ikiwa tayari upo kwenye group la MICHANGANUO-ONLINE huna haja ya kulipa tena kiingilio cha sh. Elfu 10 ila kama bado, unaweza kulipa ili uunganishwe mara moja. Lipia kwa namba 0765553030 au 0712202244, ukituma na ujumbe wa “NIUNGANISHE NA SEMINA” Kumbuka nafasi katika group zimebakia chache mno. Ikiwa hutumii wasap nitumie email nitakutumia masomo yote kwa email.

SIKU YA KWANZA: MAELEZO KWA MANENO

1.  Hesabu au kipengele cha fedha katika Mpango wa biashara maana yake ni nini?

2.  Uanze na kipi, kati ya upande wa hesabu au upande wa maneno unapoandika mpango wa biashara?

3.  Katika Mpango wa biashara ni sura ipi unaanza kukutana na namba kwa mara ya kwanza kabisa?

4.  Sura zote unazokutana na namba katika mpango wa biashara.

5.  Jinsi ya kufanya hesabu ndogondogo kabla ya kuingia kipengele chenyewe kikubwa cha fedha

1)  Mahitaji na chanzo cha fedha za mahitaji hayo

2)  Tathnmini ya ukuaji wa soko

3)  Makisio ya mauzo, Gharama za mauzo na Bajeti/Gharama za uendeshaji.

4)  Mishahara/mpango wa malipo

6.  Sura yenyewe ya Fedha(MPANGO WA FEDHA)

1)  Makisio ya Ripoti ya Faida na Hasara

2)  Makisio ya Ripoti ya Mzunguko wa Fedha Taslimu

3)  Makisio ya Rasilimali na Madeni(Mizania ya Biashara)

4)  Mauzo ya kurudisha gharama(Break Even Analysis)

5)  Tathmini ya Sehemu muhimu za Biashara(Ratio Analysis)


SIKU YA PILI(NAMBA NA HESABU KWA VITENDO PATR 1)

7.  Hesabu na namba ndogondogo kabla hujaingia Sura yenyewe ya Mpango wa Fedha.

1)  Mahitaji na chanzo cha fedha za mahitaji hayo

2)  Tathnmini ya ukuaji wa soko

3)  Makisio ya mauzo, Gharama za mauzo na Bajeti/Gharama za uendeshaji

4)  Mishahara/mpango wa malipo


SIKU YA TATU (NAMBA NA HESABU KWA VITENDO PATR 2)
8.  Sura yenyewe ya Fedha(MPANGO WA FEDHA)

1)  Makisio ya Ripoti ya Faida na Hasara

2)  Makisio ya Ripoti ya Mzunguko wa Fedha Taslimu

3)  Makisio ya Rasilimali na Madeni(Mizania ya Biashara)

4)  Mauzo ya kurudisha gharama(Break Even Analysis)

5)  Tathmini ya Sehemu muhimu za Biashara(Ratio Analysis)

MWISHO WA SEMINA.

Ukiwa na swali lolote kuhusiana na kitu chochote katika semina hii  kwa siku hizi tatu unaweza kuuliza kupitia watsap, email, SMS au kwa njia ya simu na utapata ufafanuzi wa kina.

Wasap: 0765553030
SIMU: 0712202244
EMAIL: jifunzeujasiriamali@gmail.com

Soma pia;







0 Response to "YALIYOMO KATIKA SEMINA YA JINSI YA KUANDAA HESABU ZA MPANGO WA BIASHARA"

Post a Comment