MAFUNZO YA KUANDIKA MCHANGANUO WA BIASHARA YA USAGISHAJI SEMBE & DONA KWA VITENDO | JIFUNZE UJASIRIAMALI

MAFUNZO YA KUANDIKA MCHANGANUO WA BIASHARA YA USAGISHAJI SEMBE & DONA KWA VITENDO

Watu wakisaga unga wa sembe na dona

Hii ni sehemu kidogo sana ya mafunzo yetu ya kulipia kwenye darasa la MICHANGANUO-ONLINE MASTERCLASS ambapo washiriki hujifunza kwa kina kuandika hatua kwa hatua kivitendo mchanganuo kamili wa biashara vipengele vyote

Darasa linaloendelea sasa hivi tunaandika mchanganuo wa Biashara ya usagishaji unga wa Sembe & Dona ya Kampuni moja huko Chamazi Temeke jijini Dar es salaam iitwayo Chamazi White Maize Milling Company

Maelezo haya yamekatishwa sehemu kubwa na mtu yeyote anaweza kupata mfululizo wake kamili pale tu anapojiunga na darasa hilo. Utaona sehemu iliyowekwa.......................(desh – desh – desh - - - -), ilitakiwa kuwa na maelezo kamili lakini yamekatwa

Mafunzo hutolewa kila siku na mshiriki huanza mara moja kujifunza pale tu anapojiunga kwa muda wa siku 7, akimaliza huendelea kubaki darasani kwa uangalizi mpaka atakaporidhika mwenyewe ameelewa

Kabla ya kujiunga darasa la kulipia hakikisha kwanza umepata course yetu nyingine ya bure kwenye kundi la MAKE YOURSELF GREATAGAIN, unaweza kuingia kwa kubofya hilo jina la group

Ada ya kujiunga darasa la malipo ni shilingi 20,000/= lakini kuna offa kwa watu wachache ya kulipia shilingi 10,000/= tu, unaweza kuwahi ikiwa kama nafasi bado zipo


MAFUNZO YA KUANDIKA MCHANGANUO WA BIASHARA YA USAGISHAJI SEMBE & DONA

 

SIKU YA KWANZA:

Karibuni wadau kwenye mafunzo yetu haya ya kuandika mchanganuo wa biashara ya usagishaji sembe & Dona kwa vitendo

Nina imani toka jana kila mmoja wetu amekuwa akijifunza yale masomo ya msingi 11 ya jinsi ya kuandika mpango wa biashara yeyote ile

Leo ratiba yetu inasema tunajifunza kwa vitendo kuandika vipengele 2, kile cha Muhtasari na Maelezo ya Biashara / Kampuni,  lakini kabla hatujaanza nitatoa kwanza maelezo mafupi yafuatayo;

Kwakuwa mchanganuo huu nilishauandika tayari, kitu kikubwa nitakachokifanya hapa ni kukuonyesha jinsi nilivyoandika hatua kwa hatua, na siyo kurudia tena yale masomo ya msingi uliyojifunza. Nitakuonyesha  exactly kila hatua niliyopitia

Baada ya kupata wazo lako la biashara, tuseme labda unaandika mchanganuo kwa ajili ya biashara yako mwenyewe au kuna Client amekupa kazi ya kumuandikia mchanganuo wake, hebu tuone ni kitu gani cha kwanza utakachokifanya

Bila shaka yeyote, hiyo biashara itakuwa unaelewa machache sana kuihusu, na hivyo itakubidi uanze kazi ya kuifanyia utafiti kusudi uweze kuifahamu vizuri nje ndani

Kwenye masomo yetu ya msingi kuna maelezo juu ya utafiti wa biashara/soko hivyo nitaelezea moja kwa moja jinsi mimi nilivyofanya utafiti wangu kabla sijaanza kuandika mchanganuo huu. Majibu ya utafiti huo ndiyo nitakuja kuyatumia kwa kiasi kikubwa  kuandika vipengele mbalimbali vya mchanganuo wangu

JINSI NILIVYOFANYA UTAFITI WA HII BIASHARA

Katika utafiti wangu nilizingatia zaidi vipengele vya Soko, Bidhaa, Teknolojia / ufundi, Uongozi na Fedha........................... ...................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

Baada sasa ya kumaliza utafiti wangu huu na kukusanya taarifa nyingi kadiri nilivyoweza, nilikaa chini na kuanza kuzichambua kwa ajili ya kuandika vipengele vya mchanganuo wangu.

Ukisha pata data/taarifa zako, kazi ya kuandika ni rahisi mno! Sasa twende moja kwa moja tukaanze kuandika vipengele vyetu vya leo vya Muhtasari na Maelezo ya Biashara.

 

KIPENGELE CHA1: MUHTASARI

.........................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

 

KIPENGELE CHA 2: MAELEZO YA BIASHARA / KAMPUNI

Maelezo ya Biashara au Kampuni ikiwa unaandikia biashara yako mwenyewe, basi huna hata haja ya kuyafanyia utafiti kwani mengi utakuwa mwenyewe unayafahamu vizuri, lakini ikiwa ni mteja/client amekupa kazi, basi utatakiwa kumuuliza vizuri maswali kusudi akupatie maelezo yote yanayohitajika kwa kuwa ni yeye mwenye dhima na maono ya biashara yake

Kuna baadhi ya maelezo utahitaji kutumia taarifa za utafiti mfano kwenye kipengele kidogo cha Kianzio au mahitaji, zile namba pale ni lazima uwe umetafiti ni kitu gani kinahitajika na kinauzwa shilingi ngapi dukani au sokoni

Kwa mfano kwenye mchanganuo huu wa Chamazi.............................. ...............................................................................................................................................................................................................................

................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

..............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

 

Tuishie hapa kwa leo, kesho tutaendelea na vipengele vingine 2 vya “Malezo ya Bidhaa” na “Tathmini ya Soko”





0 Response to "MAFUNZO YA KUANDIKA MCHANGANUO WA BIASHARA YA USAGISHAJI SEMBE & DONA KWA VITENDO"

Post a Comment