SOMO LA 9 SEMINA YA MICHANGANUO: UONGOZI NA WAFANYAKAZI | JIFUNZE UJASIRIAMALI

SOMO LA 9 SEMINA YA MICHANGANUO: UONGOZI NA WAFANYAKAZI


6.0 UONGOZI NA WAFANYAKAZI.
Watu ndiyo wanaosababisha kampuni au biashara iweze kufanya kazi au kutokufanya kazi. Bila watu watakaofanya kazi hakuna biashara hata ikiwa kampuni ina mtaji mkubwa na rasilimali nyingine kiasi gani. Katika sehemu hii ndipo unapotakiwa ueleze mfumo wa utawala au uongozi wa kampuni yako, wahusika wakuu wanaosimamia shughuli za kila siku pamoja wafanyakazi wengine na wasifu wao.

Sura hii huanza kama ilivyokuwa sura nyingine kwa muhtasari ambao utatakiwa uandike yale mambo muhimu kama vile waanzilishi, biashara itaajiri watu wangapi akiwemo meneja/mameneja pamoja na mapungufu ya wafanyakazi kama yapo na huandikwa baada ya kumaliza sura yote kwanza

Kwenye sehemu hii ya Uongozi na wafanyakazi, huwa kunakuwa na vipengele vidogo vifuatavyo;
1.  Waanzilishi wa biashara
2.  Mfumo wa utawala
3.  Chati ya utawala
4.  Mpango wa malipo.
…………………………………………………………….

Ikiwa utapenda kupata somo hili lote kikamilifu pamoja na masomo mengine yote katika mfululizo wa nasomo haya ya semina ya michanganuo ya biashara, lipa ada ya kiingilio ambayo ni Tsh. 10,000/= pamoja na kutuma anuani yako ya e-mail(Gmail) kwenye namba za simu 0712202244  au 0765 553030  jina ni Peter Augustino Tarimo. Utapewa kitabu cha michanganuo(softcopy) bure na kupewa link ya bloguhii ya michanganuo ili uweze kupakua masomo ya sauti na PDF. Baada ya masomo hayo utaweza kuandaa mpango wowote ule wa biashara utakayotaka na kupewa usaidizi wa karibu kabisa na mkufunzi wa semina.

Tunahakikisha mpaka umeelewa ndipo semina inamalizika, hakutakuwa na muda maalumu wa kuisha kwa semina. Masomo yatakapomalizika tutaendelea kutoa masomo ya ziada ambayo yatasaidia pale ambapo washiriki hawajaelewa vyema.

Tazama RATIBA KAMILI YA MASOMO ya darasa la semina hapa

Kwa hudumazetu nyinginezo unaweza kutembelea ukurasa huu wa HUDUMA ZETU


Kupata vitabu vya Ujasiriamali, Biashara na Maendeleo binafsi fungua, SMART BOOKS TANZANIA.


 SOMO LA 10 MAKISIO YA FEDHA somo la 8






0 Response to "SOMO LA 9 SEMINA YA MICHANGANUO: UONGOZI NA WAFANYAKAZI"

Post a Comment