USOMAJI WA KITABU CHA THINK & GROW RICH (FIKIRI & UTAJIRIKE) | JIFUNZE UJASIRIAMALI

USOMAJI WA KITABU CHA THINK & GROW RICH (FIKIRI & UTAJIRIKE)

Kitabu Fikiri & Utajirike (Think & Grow Rich)

Leo tarehe 29/07/2025 ndio siku tunaanza rasmi usomaji wa kitabu cha Think & Grow Rich (Fikiri & Utajirike)

TARATIBU 08 ZA USOMAJI

               (1)     Tunatumia nakala zote 2, ya kiingereza na ya Kiswahili katika usomaji kwani lengo letu ni kuuelewa ujumbe wa kitabu na si lugha

               (2)     Tutakuwa tukisoma kama group ili kuhimizana kwa lengo la kujenga moyo wa uwajibikaji

               (3)     Kila siku tunaweka lengo la kusoma kurasa 10 za kitabu (katika nakala ya kiingereza) na washiriki kutoa mrejesho kila jioni. Kwa nakala ya Kiswahili kurasa hizi huzidi 10

               (4)     Siku za kusoma ni 5 katika juma, siku za weekend na siku kuu hatutakuwa na session za usomaji isipokuwa mtu mmoja mmoja anaweza akajisomea kutimiza kiporo alichobakiza kama hakuweza kwenda na ratiba

               (5)     Kila mwisho wa Sura ya kitabu kila mshiriki atapaswa kuandaa ripoti ya mafunzo muhimu aliyoyapata kutoka kwenye sura hiyo na kuwasilisha kwa wenzake

               (6)     Nakala ya kiingereza ina jumla ya kurasa 235 hivyo itatuchukua takriban siku 24 kumaliza usomaji wa kitabu hiki. Kwa upande wa nakala ya kiswahili kina kurasa zenye maandishi 415 hivyo ukigawa kwa 10 utaona kila siku ni wastani wa kurasa 42 karibu mara 2 ya nakala ya kiingereza

               (7)     Orodha ya baadhi ya maneno magumu (Misamiati) na maana zake itatolewa kila siku asubuhi na mshiriki yeyote anaweza kuuliza ufafanuzi wa neno jingine au mstari unaomtatiza muda wowote toka kwa wenzake na kupewa majibu, hii itarahisisha sana usomaji na kwenda kwa kasi

               (8)     Ratiba ya kurasa zitakazosomwa hutolewa kila wiki au mara kwa mara ili washiriki waweze kujua wanapaswa kusoma nini huku tukihimizana kwenda na ratiba

Usomaji wa kitabu hiki ni moja ya progranu zetu za 2025 MAKE YOURSELF GREAT AGAIN na unafanyika ndani ya magroup yetu ya MAKE YOURSELF GREAT AGAIN. Unaweza kujiunga group la MAPOKEZI HAPA


NB: Usomaji wa kitabu cha Think and Grow Rich haukuwa kwenye hii programu na kujumuishwa kwake hapa ni OFFA ya muda mfupi hivyo baada ya muda hautakuwepo


Programu ya 2025 MAKE YOURSELF GREAT AGAIN lengo lake kuu ni kumfanya mshiriki awe na uwezo wa kuwa imara kiuchumi ndani ya muda mchache kupitia kufanya miradi au biashara kwa kutumia ubunifu wa hali ya juu sana

Programu itatimiza lengo hili kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwemo usomaji wa vitabu vya kimkakati, kujifunza mawazo ya biashara za mitaji kidogo zinazolipa upesi, kujifunza jinsi ya kuweka mipango na mikakati ya kufanikisha biashara  hizo kwa weledi na ufanisi, kujijengea tabia na nidhamu za mafanikio, kuzingatia muda, kuhimizana umuhimu wa kujifunza ujuzi maalumu ili kuondokana na shida ya kukosa fedha na ajira pamoja na kuhimizana umuhimu wa fikra chanya katika juhudi za kujenga utimamu wa akili na mwili.

Tuna magroup mawili (2) kwa ajili ya progaru hii, group la bure na group la malipo. Tofauti ya magroup haya 2 unaweza kuiona kwenye jedwali hapo chini kwa aina ya huduma na vitu mshiriki anavyonufaika navyo;


MAKE YOURSELF GREAT AGAIN (FREE GROUP/ MAPOKEZI)

MAKE YOURSELF GREAT AGAIN (MASTER CLASS / VIP)

 

       1.      Kozi ya msingi ya jinsi ya kuandika mchanganuo wa biashara yeyote ile yenye masomo 12

       2.      PDF ya masomo hayo yote 12

       3.      Kuchambua Michanganuo mifupi ya biashara zinazolipa kwa mwezi mara 1

       4.      Masomo ya mtiririko wa fedha kwenye biashara kwa mwezi mara 2

       5.      Masomo ya ujuzi wa vitu mbalimbali vinavyoweza kumsaidia mtu kujiajiri na kupata mtaji wa kuanzishia biashara yake ndogo

       6.      Kujifunza mbinu za kufanya biashara za rejareja na jumla, ujuzi wa masoko na mauzo nje na ndani ya mtandao (Branding)

       7.      Usomaji wa kitabu cha Think & Grow Rich kwa Kiswahili na kiingereza

       8.      Nakala 1 ya kitabu cha Think and Grow Rich (PDF)

       9.      Mijadala mingine mbalimbali juu ya biashara na uwekezaji

    10.    Matangazo ya biashara na ujuzi wa washiriki

 

 

 

 

       1.      Kozi ya msingi ya jinsi ya kuandika mchanganuo wa biashara yeyote ile yenye masomo 12

       2.      Kozi ya uandishi wa mpango wa biashara kwa vitendo hatua kwa hatua siku 7 pamoja na jinsi ya kufanya mahesabu ya makisio ya ripoti tatu za fedha, ile ya faida na hasara, mtiririko wa fedha na mizania ya biashara

       3.      PDF za course zote 2

       4.      Kuchambua Michanganuo mifupi ya biashara zinazolipa kwa wiki mara 2

       5.      Masomo ya mtiririko wa fedha kwenye biashara kwa wiki mara moja

       6.      Masomo ya ujuzi wa vitu mbalimbali vinavyoweza kumsaidia mtu kujiajiri na kupata mtaji wa kuanzishia biashara yake ndogo

       7.      Kujifunza mbinu za biashara za rejareja na jumla, ujuzi wa masoko na mauzo nje na ndani ya mtandao (Branding)

       8.      Unapewa Vitabu vya rejea vifuatavyo; (1) MICHANGANUO YA BIASHARA NA UJASIRIAMALI, (2)JINSI YA KUANDIKA MCHANGANUO MFUPI WA BIASHARA, (3) MIFEREJI 7 YA PESA (4) KANUNI YA KUJIFUNZA ELIMU YA FEDHA NA MAFANIKIO (5) HOW TO WRITE BUSINESS PLAN cha mwandishi nguli wa michanganuo duniani

       9.      Unapewa Michanganuo kamili 7 ya biashara iliyokwishaandikwa tayari, hii unachagua mwenyewe kati ya michanganuo mingi utakayopewa hapo chini mwisho.

    10.    Usomaji wa kitabu cha Think & Grow Rich kwa Kiswahili na kiingereza

    11.    Nakala 1 ya kitabu cha Think & Grow Rich (PDF)

    12.    Misamiati na maneno magumu ndani ya kitabu cha Think and Grow Rich na ufafanuzi wake kila sura

    13.    Ripoti za usomaji wa kitabu cha Think & Grow Rich kwa washiriki kila baada ya sura kuisha

    14.    Early Morning Motivation (Maneno ya kuamsha hamasa alfajiri kutoka sura ya kitabu tunayosoma siku hiyo) ni kila siku saa 11 alfajiri

    15.    Kufanya kwa vitendo (Kupractice) kanuni mbalimbali ndani ya kitabu cha Think & Grow Rich mfano, Mikutano na washauri wasioonekana, kujenga tabia, kujishauri binafsi (Autosuggestion) na kuunda Ushirika (Master mind group)

    16.    Mijadala mingineyo mbalimbali juu ya biashara na uwekezaji

    17.    Matangazo ya biashara na ujuzi wa washiriki kila siku ya

 

 

 

UTARATIBU WA KUJIUNGA NA GROUP LA MALIPO (VIP)

Ada ya kujiunga na group hili ni shilingi 20,000/= lakini natoa offa ya watu 10 tu wa mwanzo kulipa shilingi 10,000/=

Lipia Vitabu na Michanganuo kwa ajili ya rejea shilingi 10,000/= bei ya offa kupitia namba 0761002125 Jina ni Peter Augustino Tarimo kisha tuma meseji ya muamala kwa watsap au sms kupitia  namba 0765553030 au 0761002125 na muda huohuo nitakuunganisha na group la VIP pamoja na kukutumia vitabu na michanganuo yako yote jumla vitu 12

Ikiwa tayari wewe ni member wa VIP group, dai chochote ndani ya hilo jedwali unachoona hujakipata bado

 

IFUATAYO NI ORODHA YA MICHANGANUO MBALIMBALI YA BIASHARA 25 UNAYOWEZA KUCHAGUA HAPO MICHANGANUO YAKO 7 UNAYOPENDA UTUMIWE

       (1)          Genge la Matunda na Mboga (Double M Fresh)

         (2)          Duka la Rejareja (Msuya shopping centre)

         (3)          Chekechea / Day care (Cheichei centre)

         (4)          Saluni ya kike (Rose hair & Beauty salon)

         (5)          Duka la Jumla (MCD Provision Store)

         (6)          Saluni ya Kiume (Boys 2 Men Barber shop)

         (7)          Keki na Vitafunwa (Mam Bites)

         (8)          Kampuni ya Ulinzi (Nyuki security services)

         (9)          Sabuni za vipande (Takatisha soap & Detergents)

    (10)          Cafe ndogo ya chakula (Jane fast food)

    (11)          Steshenari (Neema stationery)

    (12)          Uuzaji wa matunda kwa ubunifu (Matunda bora)

    (13)          Mama lishe (Upendo cafe)

    (14)          Kiwanda cha tofali za saruji ( Kiluvya bricks)

    (15)          Kilimo cha Matikiti maji (Kibada watermelon)

    (16)          Kiwanda cha mvinyo na juisi ya Rosella (Choya investment co. Ltd)

    (17)          Kuku wa kisasa wa mayai (Mayai bora project)

    (18)          Kuku wa kienyeji ( Mayai asili project)

    (19)          Kuku wa nyama (Tumaini broilers)-kiswahili

    (20)          Kuku wa nyama (Tumaini broilers)-kiingereza

    (21)          Kuku Chotara (Kuroiler)

    (22)          Kiwanda cha usagishaji unga wa Dona (Usado Milling)

    (23)          Mgahawa wa chakula (Jane Restaurant) – Kiswahili

    (24)          Mgahawa wa chakula (Jane Restaurant) – Kiingereza

    (25)          Uongezaji thamani mashamba ya zabibu (Makupila Real Estate Agency)

 

Soma kifuatacho kwenye usomaji huu hapa




HUDUMA ZETU NYINGINE MBALIMBALI, VITABU & MICHANGANUO YA BIASHARA

 

1. KUANDIKA MICHANGANUO YA BIASHARA

Tunaandika mipango ya biashara kwa ajili ya Wajasiriamali na Makampuni inayoendana na mazingira yao halisi kwa gharama rafiki sana, tuwasiliane kwa namba 0765553030 au 0712202244.  Unaweza pia kuona baadhi ya kazi za wateja wetu hapa kwa ufupi tulizowahi kufanya

2. KUANDIKA WASIFU WA BIASHARA (COMPANY PROFILE)

Tunaandika company profile zenye mvuto na za kipekee kulingana na maono ya mteja mwenyewe na gharama huanzia Tsh. 50,000/=

3. KITABU CHA FIKIRI & UTAJIRIKE (THINK & GROW RICH-SWAHILI EDITION)  

Dar es salaa tunampelekea mteja alipo kwa gharama ya Tsh. 25,000/= na mteja hufanya malipo akishapokea kitabu. Mikoa mingine kwa mabasi ni sh. 35,000/=. Nakala laini (softcopy) kinapatikana app ya GETVALUE popote pale ulipo, bonyeza link hiyo kununua.

4. KITABU CHA MAFANIKIO BIASHARA YA DUKA LA REJAREJA & GENGE TOLEO LA 2025

Nakala ngumu  ni Tsh. 20,000/= Dar tunamfikishia mteja alipo, anapokea kitabu ndipo analipa na Mikoa mingine kwa mabasi ni Tsh. 30,000/= Nakala laini (softcopy) tunatuma kwenye simu au kompyuta ya mteja kwa bei ya Tsh. 10,000/= Pia unaweza kununua mtandaoni kwenye duka letu kwa bofya kiungo hiki>>>Siri ya mafanikio ya biashara ya duka la rejareja 2025 & genge ndani yake

5. VITABU ZAIDI & MICHANGANUO YA BIASHARA

Kupata vitabu vingine zaidi pamoja na Michanganuo ya biashara mbalimbali iliyokwisha andaliwa tayari tembelea Duka letu la mtandaoni kwa kiungo kifuatacho>>>; Augustinopeter bookshop

Watsap/Call/Sms: 0765553030 au 0761002125

Peter Augustino Tarimo

0 Response to "USOMAJI WA KITABU CHA THINK & GROW RICH (FIKIRI & UTAJIRIKE)"

Post a Comment