UTAJUAJE KAMA UTAKUFA MASIKINI AU TAJIRI? HIZI HAPA KANUNI 3 ZA KUIJUA HATMA YAKO KIFEHDA | JIFUNZE UJASIRIAMALI

UTAJUAJE KAMA UTAKUFA MASIKINI AU TAJIRI? HIZI HAPA KANUNI 3 ZA KUIJUA HATMA YAKO KIFEHDA

K + M = +D (Kanuni za kujua ikiwa utakufa masikini au tajiri

Zipo kanuni 3 za fedha kimahesabu ambazo zina uwezo wa kutoa majibu kwa swali ambalo watu wengi sana wamekuwa wakijiuliza mara kwa mara na kwa muda mrefu, jinsi ya kujua ikiwa mtu maisha yake ya baadae yatakuwaje kifedha na ni kwanini matajiri wanaendelea kuwa matajiri wakati masikini wakibakia kuwa masikini.

Dalili za kujua kama utakufa masikini au tajiri mtu ana uwezo wa kuanza kuzijua mapema kabisa katika maisha yake ikiwa ataamua kukaa chini na kujikagua mienendo na tabia za maisha yake. Wataalamu walikaa chini na kufuatilia mienendo hiyo ya watu mpaka wakaibuka na kanuni ya kimahesabu iliyokuwa na uwezo wa kutabiri hatma ya mtu yeyote yule ikiwa atakuja kufa akiwa tajiri au masikini.

Kwa mfano unaweza kukuta mtu anapata pesa nyingi tu mwezi huu lakini mpaka mwezi ukaishe unakuta tayari mtu huyu hana tena kitu mifukoni, isitoshe keshaingia madeni chungu nzima. Na hii wala haijalishi ikiwa mtu anapata pesa kiasi gani kwani wengine hata kama wanapata mamilioni lakini matumizi yao ndiyo tatizo. Kunakuwa hamna tofauti kati ya mtu anayepata laki moja kwa mwezi na yule anayepata kipato cha milioni 10 kwa mwezi ikiwa kama hamana nidhamu yeyote ile ya fedha.

Kanuni hizo ndugu msomaji wangu bila ya kupoteza muda wako mwingi ni hizi zifuatazo na hivi punde tu katika somo hilihili nitazifafanua vizuri zaidi nikitumia kanuni zake (Formula) kama zilivyokokotolewa na wataalamu wa mambo ya uchumi na fedha waliobobea;

1.   Kanuni ya kufilisika (Bancruptcy formula)

2.   Kanuni ya umasikini (Poverty formula)

3.   Kanuni ya ukwasi au tajiri (Wealthy formula)

1.Tukianza na ile ya kwanza kabisa, kanuni ya kufilisika;

 

K - M =(-D)

 

Ambapo herufi,

K = ........................................

 

......................................................................................................................................................................................................

Kupata Somo hili zima uzijue kanuni hizo kwa kina, ungana nasi kwenye Master Mind group la MICHANGANUO-ONLINE leo tarehe 03/06/2023 usiku saa 3 utapata pia fursa ya kujua jinsi kanuni hizi tatu zinavyofanya kazi.

Utapata OFFA ya vitu 12, vitabuna Michanganuo kamili ya biashara, utapewa na masomo mengine yote ya PESA yaliyopita tangu darasa lianze, pamoja na fursa ya kushiriki bure semina mbalimbali za uandaaji wa Michanganuo ya biashara BUNIFU kwa mwaka huu mzima.

Kiingilio ni sh. elfu 10, tu mwaka mzima. Lipia kupitia namba, 0712202244 au 0765553030. Jina ni Peter Augustino Tarimo, kisha tuma na ujumbe usemao, "NIUNGANISHE MASTERMIND GROUP NA OFFA YA VITU 12" Utainganishwa muda huohuo na kutumiwa kila kitu. Ikiwa hutaki group ungepednelea offa peke yake nijulishe nisikuunge.


Ikiwa hutumii watsap, tuma anuani yako ya email tutakutumia kila kitu kwa email.

 

VITU 12 VYA OFFA NI HIVI VIFUATAVYO;-

                 1.      COURSE/SEMINA: (compiled complete course) ya Jinsi ya kuandika Mchanganuo wa biashara –(Ukishindwa kuandika mchanganuo wako mwenyewe utarudishiwa pesa zako) - kwa kiswahili

                 2.       KITABU: Michanganuo ya Biashara na Ujasiriamali chenye course zote muhimu za BIASHARA, jinsi ya kuandaa michanganuo ya biashara na sample za michanganuo mbalimbali 10 iliyokamilika kila kitu.kwa kiswahili

                 3.      KITABU: Mifereji 7 ya Pesa na Siri Matajiri wasiyopenda kuitoa -kiswahili

                 4.      KITABU: Siri za upishi wa chapati laini-UPENDO CAFE pamoja na Mchanganuo wake kamili.-kwa kiswahili

                 5.       KITABU: Njia rahisi ya kuandika mpango wa biashara-dakika 30 - kwa kiswahili

                 6.       KITABU: HOW TO WRITE A BUSINESS PLAN  ni maarufu sana duniani na ndio hutumika vyuo vikuu vingi.-kwa kiingereza

                 7.       MCHANGANUO: Kuku wa nyama -Tumaini Broilers - kwa kiswahili

                 8.      MCHANGANUO: Kuku wa nyama –kwa kiingereza

                 9.      MCHANGANUO: Ufyatuaji tofali za saruji- kwa kiswahili

              10.    MCHANGANUO: Mgahawa wa chakula-Jane Restaurant –kwa Kiswahili

              11.    MCHANGANUO: Mgahawa wa chakula-Jane Restaurant –kwa kiingereza

              12.    MCHANGANUO: Kiwanda cha usagishaji Dona (Usado milling) - kwa Kiswahili

              13.    Kuunganishwa Group la masomo ya kila siku ya fedha na michanganuo mwaka mzima ukitaka. (Mentorship group) (Ni hiyari yako lakini, usipotaka hatukuunganishi)

 

Somo hii limeandaliwa na:

Peter Augustino Tarimo

Mtaalamu wa Michanganuo ya biashara aina zote

Phone/Watsap: 0765553030 au 0712202244



SOMA NA HIZI HAPA PIA;

1. Kanuniza mafanikio (the success principles) by Jack Canfield

2. Ni lini biashara yako itarudisha gharama zote ulizotumia? (Break even Point)

3. Ijue falsafa ya kitabu iliyotengeneza matajiri na mabilionea wengi zaididuniani

4. Kanuni na siri ya Cocacola, birika la ajabu na wazo la dola milioni 1

 


0 Response to "UTAJUAJE KAMA UTAKUFA MASIKINI AU TAJIRI? HIZI HAPA KANUNI 3 ZA KUIJUA HATMA YAKO KIFEHDA"

Post a Comment