STADI MOJA YA MAISHA ITAKAYOKUWEZESHA KUINGIZA PESA BILA KUWEKEZA CHOCHOTE | JIFUNZE UJASIRIAMALI

STADI MOJA YA MAISHA ITAKAYOKUWEZESHA KUINGIZA PESA BILA KUWEKEZA CHOCHOTE

stadi ya maisha inayowezesha mtu kupata pesa bila mtaji
Zipo stadi nyingi nzuri za maisha mtu unazoweza ukajifunza aidha vyuoni, mashuleni au hata katika uzoefu wa maisha ya kawaida ambazo baada ya kumaliza mafunzo utahitajika ama uajiriwe au uwekeze fedha kwenye biashara ndipo uweze weze kusema sasa nimepata njia ya kutengeneza pesa.

Lakini kuna stadi moja tu ya kipekee sana ambayo unaweza kuiita ndiyo mama wa stadi nyingine zote duniani ambayo unapojifunza inakupa uwezo mkubwa wa kuingiza pesa yenyewe pasipo hata kuhitaji uwekezaji kutoka pembeni kama vile kuwekeza kwenye hisa au kuwekeza kwenye kilimo


Stadi nyingine zote za maisha kwa mfano ufundi wa vitu mbalimbali, utabibu, ujuzi wa kupika, utaalamu wa kompyuta, ufundi magari, utunzaji wa mahesabu, useremala, uashi, uhandisi wa mitambo, udobi, ufundi viatu, ufundi cherehani na kila aina ya stadi za maisha unazoweza kuzitaja hapa zitategemea sana stadi hii maalumu kwa kiasi kikubwa hivyo hata ikiwa unasomea stadi hizi mbalimbali nilizozitaja hapo juu, ni vizuri pia ukahakikisha na stadi hii ya kipekee unakuwa nayo mkononi kama silaha ya kuhakikisha unafanikiwa kwenye kile utakachokwenda kukifanya kwa kutumia stadi uliyosomea.

SOMA: Biashara 7 nzuri za kufanya zitakazokuingizia pesa hata ukiwa umelala.

Stadi hiyo leo katika GROUP letu la Whatsapp la MICHANGANUO ONLINE ndiyo somo tunalokwenda kujifunza. Somo litaanza saa 3 usiku mpaka 4, na kiingilio ni sh. Elfu 10 tu ambayo ni ada ya "maisha", mshiriki hatalipa tena malipo yeyote yale ya ziada mpaka mwishoni mwa mwaka huu. 

Group linatarajia kuwepo hewani kwa mwaka wote huu wa 2020 . Masomo ni kila siku ambapo tunakuwa na mchanganyiko wa masomo yenye maudhui ya aina mbili, 1.MICHANGANUO YA BIASHARA na 2. MZUNGUKO WA FEDHA. Kauli mbiu yetu ya mwaka huu ni, Tanzania ya viwanda 2020 inawezekana, timiza wajibu wako (The 2020 Tanzania Industrial Revolution is Possible, Play your Part ! )   wakati ile ya mwaka jana ilikuwa ni “BORESHA MZUNGUKO WAKO WA FEDHA UTIMIZE MALENGO YAKO” 

Hivyo masomo yetu yote yanalenga kutimiza kaulimbiu hizi  kwani imethibitika kuwa malengo mengi licha ya sababu nyingine lakini ukata au ukosefu wa pesa na mipango isiyokuwa imara ndio chanzo kikubwa sana cha kuzimika kwa ndoto za watu wengi.


Mtu anawaza kuanzisha genge la matunda na mbogamboga au kiwanda kidogo cha juisi ya matunda lakini anakosa hata elfu 20 ya kuanzia. Muda unazidi kupita hana hela mwishowe na ndoto yenyewe inazimika kabla hata hajaitimiza. 

Makala hizi zitakwenda kuamsha akili zetu ziweze kufanya kazi vizuri na kuweza kuona vyanzo vya mitaji ambavyo kwa hali ya kawaida inakuwa vigumu mtu kuviona. Simaanishi kwanba kuna vyanzo vya fedha vya kimiujiza hapana, bali namaanisha zile tabia za kijasiriamali ambazo watu wengi walioweza kufanikiwa wamethibitika kuzitumia njia hizo.

Unapoijuiunga na magroup yetu, licha ya kushiriki masomo ya kila siku pia tunakutumia muda huohuo softcopy za vitu mbalimbali vifuatavyo;

1.  Kitabu cha MICHANGANUO YA BIASHARA NA UJASIRIAMALI -kwa kiswahili


2.  Mchanganuo kamili wa Biashara ya kiwanda cha Usagishaji unga safi na salama wa dona (USADO MILLING) -kwa kiswahili


3.  Kitabu mashuhuri zaidi duniani, HOW TO WRITTE A BUSINESS PLAN kwa lugha ya kiingereza, ndio kinachotumika vyuo vikuu vingi duniani.-kwa kiingereza

4.  Kifurushi maarufu cha michanganuo 3 ya ufugaji wa kuku(MKOMBOZI CHICKS PLAN 3PACKS)-kwa kiswahili

5.  Mchanganuo kamili wa kilimo cha Matikiti maji(KIBADA WATERMELON BUSINESS PLAN) -kwa kiswahili

6.  Mchanganuo wa biashara ya mgahawa(JANE RESTAURANT) -kwa Kiswahili & kiingereza

Ikiwa hutumii WHATSAP wala TELEGRAM, masomo utapata kama kawaida kupitia anuani yako ya EMAIL.

Tuma ada yako sh. elfu 10 kupitia moja kati namba zetu hapo chini kisha ujumbe usemao; "NIUNGANISHE NA MAGROUP YA MICHANGANUO-ONLINE2020 PAMOJA NA OFFA YA VITU 6"

Kufuatilia Semina bila malipo inayohusu jinsi ya kuandika mchanganuo wa biashara ya kiwanda cha unga wa dona hatua kwa hatua bofya hapa

WHATSAPP/SIMU  0765553030
SIMU:                      0712202244
JINA:      Peter Augustino Tarimo

0 Response to "STADI MOJA YA MAISHA ITAKAYOKUWEZESHA KUINGIZA PESA BILA KUWEKEZA CHOCHOTE"

Post a Comment