MANENO MAGUMU (MSAMIATI) NA LAHAJA KWENYE USOMAJI WA THINK & GROW RICH AWAMU YA 2 | JIFUNZE UJASIRIAMALI

MANENO MAGUMU (MSAMIATI) NA LAHAJA KWENYE USOMAJI WA THINK & GROW RICH AWAMU YA 2

 

Maana ya maneno magumu /msamiati na lahaja

Baadhi ya maneno magumu na lahaja(idioms) zilizojitokeza ndani ya kurasa 10 wakati wa usomaji wa kitabu cha Think and Grow Rich (Fikiri & Utajirike) awamu ya pili (Page 9 – 18 nakala ya kiingreza) na (Uk 17 – 37 nakala ya kiswahili) ni haya yafuatayo hapo chini;

Ikiwa msomaji yeyote kwenye hili group ataona kuna maneno mengine ama lahaja ambazo zinamtatiza basi anaweza kuzitoa hapa kundini yeyote mwingine akatolea ufafanuzi;

 

Burning desire  - Shauku kali / hamu kubwa

Definitiveness of purposeUkamilifu wa lengo

Impulse of thoughtsMsukumo wa mawazo

Single turn of the wheelHali au mchakato mmoja unaoendelea

Very nominal wage  -  Mshahara kidogo sana

Definite major purposeLengo kubwa kamili/dhahiri

An all consuming obsessionsGubikwa sana na mawazo/fikra juu ya jambo fulani

Bulldog Jasiri, siyo tikisika ovyo

Mow down Fyekelea mbali

Definite knowledgeUjuzi kamilifu / dhahiri

Stake a claimTangaza / madai/ weka kwenye kumbukumbu

Lust for goldHamu ya kupata dhahabu

Big killing in profitFaida kubwa isiyo na kifani

Junk manMuuza vitu vikuukuu / vyuma chakavu/makopo

QuitabilityUachaji

StickabilityUng’ang’anizi

TricksterErevu

IronyKejeli

TrippingJikwaa / kosea

University of hard ‘knock’Chuo kikuu cha maanguko

MeeklyVumilivu / Sikivu / nyenyekevu

Take a switchTandika bakora

BudgeJongea / sogea

Shrill voiceSauti kali / ukelele

PonderingFikiria / tafakari

GlimpseKuona kidogo / chungulia mara moja

UnwittinglyPasipo kukusudia

GlaringKazia macho / jicho kali

Blessing in disguiseNeema iliyojificha

ImponderableDogo sana / isiyopimika

Astounding statementKauli ya kustaajabisha

To stake every thingKuweka rehani kila kitu

Indifferent   - Kutojali / kutojihusisha

The sum and substance of  - Kiini cha jambo / maana kuu

 

NaiIkiwa kama bado hujamaliza kusoma awamu hii ya 2, jitahidi sana usiku huu umalizie kusudi kesho tuweze kuanza awamu (session ) ya tatu, 3

 

Soma kilichopita kwenye Usomaji huu

Soma kifuatacho kwenye Usomaji huu

 

.....................................

HUDUMA ZETU MBALIMBALI ZA MALIPO, (MAFUNZO, VITABU & MICHANGANUO)

 

1. Kujiunga na programu yetu ya MAKE YOURSELF GREAT AGAIN ndani ya group la VIP

Hii ni programu ya mafunzo na mentorship mwaka mzima yenye course mbalimbali ikiwemo, Kujifunza kuandika business plan kwa undani, usomaji wa think & grow rich kwa kina, kujifunza ubunifu kwenye biashara, masoko na mauzo nje na ndani ya mtandao, siri za biashara ya rejareja pamoja na uwekezaji. 

Kujiunga ada ni sh. 20,000/= kwa ajili ya vitabu na michanganuo ya rejea lakini kwa sasa ukiwahi muda haujaisha unalipia shilingi 10,000/= tu

Au unanunua tu kitabu cha Think & Grow Rich (Fikiri & Utajirike) softcopy au Hardcopy na kuunganishwa moja kwa moja

Ikiwa utalipia vitabu na michanganuo unapewa papo hapo Vitabu  5 kikiwemo cha Michanganuo ya biashara na Ujasiriamali , halafu OFFA ya Michanganuo kamili ya Biashara 7 kama uonavyo hapo chini. Jumla ni vitu 12 unatumiwa.

Michanganuo 7 ya offa iliyoorodheshwa unaweza kubadilisha kabla hujatumiwa kwa kuchagua mwenyewe ile uitakayo  miongoni mwa Michanganuo 18 utakayoorodheshewa pale chini kabisa mwishoni ilimradi tu imefika 7. Wasiliana nasi kwa namba 0765553030 / 0761002126

2. Kuandikiwa Mchanganuo wa Biashara yako

Tunaandika Mpango kamili wa biashara yeyote ile kwa Kampuni na wafanyabiashara binafsi kwa gharama rafiki, njoo tuzungumze kupitia namba za simu au wasap 0765553030 / 0761002125 Michanganuo yetu tunaandaa kulingana na maono ya mteja kama yalivyo pamoja na mazingira ya soko linalomzunguka

3. Kitabu cha MAFANIKIO YA BIASHARA YA DUKA LA REJAREJA

Kitabu hiki kilichowasaidia wajasiriamali wengi wadogo na wale wa kati kinatatua changamoto mbalimballi za biashara za rejareja kubwa ikiwa ni usimamizi wa mapato yasipotee au kudokolewa kiholela na wasaidizi wako, ni uzoefu wa miaka 12 wa mwandishi mwenyewe kwenye hii biashara.

Kukipata unaweza kulipia Tsh. 10,000/ kupitia namba 0761002125 jina peter Augustino Tarimo, kisha nitakutumia kitabu chako kwenye simu au kompyuta mara moja. Au pia unaweza ukatembelea duka letu la mtandaoni kukinunua hapo kwa kiungo hiki>>MAFANIKIO YA BIASHARA DUKA LA REJAREJA

 

4. Kitabu cha THINK & GROW RICH –SWAHILI EDITION (FIKIRI & UTAJIRIKE)

Kitabu hiki kilichosomwa duniani na zaidi ya watu milioni 100 tunayo nakala ya Kiswahili kwa bei zifuatazo;

Nakala ngumu hardcopy ukiwa Dar es salaam ni Tsh. 25,000/=  – Tunakuletea mpaka pale ulipo, ukishapokea kitabu ndipo unalipa pesa

Ukiwa mikoa mingine Tanzania tunatuma kitabu kwa njia ya Mabasi kwa  gharama jumla Tsh. 35,000/= kitabu na usafiri

Nakala laini Softcopy; Ukiwa popote pale Duniani unaweza kukipata kwenye mtandao wa GETVALUE kupitia kiungo hicho kibofye kuingia ununue sasa hivi na kukidownload.

5. Vitabu zaidi &Michanganuo mbalimbali ya biashara

Kwa vitabu zaidi na Michanganuo mbalimbali ya biashara iliyo tayari tembelea duka letu hili  la mtandaoni uweze kuona na kujinunulia kwa urahisi kabisa>>SELF HELP TANZANIA ONLINE BOOSHOP


0 Response to "MANENO MAGUMU (MSAMIATI) NA LAHAJA KWENYE USOMAJI WA THINK & GROW RICH AWAMU YA 2 "

Post a Comment