WAUZAJI NA WANUNUZI WA MBUZI WA KISASA NA WALE WA KIENYEJI | Jifunzeujasiriamali

WAUZAJI NA WANUNUZI WA MBUZI WA KISASA NA WALE WA KIENYEJI

wauzaji na wanunuzi Tanzania

Kama wewe ni muuzaji wa Mbuzi wa kisasa au wale wa kienyeji unakaribishwa katika blogu hii ya jifunzeujasiriamali kutangaza biashara yako uweze kukutana na wanunuzi wa Mbuzi wa kisasa au wale wa kienyeji. 

Gharama ya kuweka tangazo lako katika ukurasa huu ni kidogo mno karibia kabisa na bure na unaweza ukatangaza kwa muda wowote ule utakao wewe iwe ni mwezi mmoja, miwili, mitatu na kuendelea ni wewe tu. Njoo kabisa na picha nzuri ya tangazo lako tukuwekee

Aidha pia kama wewe ni mnunuzi wa Mbuzi wa kisasa au wale wa kienyeji nikimaanisha unataka kununua Mbuzi wa kisasa au wa kienyeji, ukurasa huu unaweza kukutana na wauzaji/muuzaji wa Mbuzi wa kisasa au wale wa kienyeji bure kabisa bila ya malipo yeyote yale.

Kwa matangazo yaliyokwishawekwa tayari hapa, shuka chini (scroll down) ukurasa huu utayaona na ikiwa bado hakuna wauzaji wowote wale waliojitokeza basi hutaona tangazo lolote kuhusiana na biashara ya Mbuzi wa kisasa na wale wa kienyeji

Kwa upande wa wauzaji/muuzaji tu: Ili kuweka tangazo lako hapa wasiliana na sisi kwa namba zifuatazo; 0765553030 / 0712202244 au 0761002125

 

MATANGAZO:

Hakujawa na tangazo bado, kuwa wa kwanza kuweka tangazo lako hapa LINALOHUSIANA NA UUZAJI WA MBUZI WA KISASA NA WALE WA KIENYEJI walio na afya nzuri

KARIBUNI SANA!

0 Response to "WAUZAJI NA WANUNUZI WA MBUZI WA KISASA NA WALE WA KIENYEJI"

Post a Comment