WAUZAJI NA WANUNUZI WA SIMU ZA SAMSUNG | Jifunzeujasiriamali

WAUZAJI NA WANUNUZI WA SIMU ZA SAMSUNG

wauzaji & wanunuzi tanzania

Kama wewe ni muuzaji wa simu za Samsung unakaribishwa katika blogu hii ya jifunzeujasiriamali kutangaza biashara yako uweze kukutana na wanunuzi wa simu za Samsung. 

Gharama ya kuweka tangazo lako katika ukurasa huu ni kidogo mno karibia kabisa na bure na unaweza ukatangaza kwa muda wowote ule utakao wewe iwe ni mwezi mmoja, miwili, mitatu na kuendelea ni wewe tu. Njoo kabisa na picha nzuri ya tangazo lako tukuwekee

Aidha pia kama wewe ni mnunuzi wa simu ya Samsung nikimaanisha unataka kununua simu kali aina ya Samsung, ukurasa huu unaweza kukutana na wauzaji/muuzaji wa simu za Samsung bure kabisa bila ya malipo yeyote.

Kwa matangazo yaliyokwishawekwa tayari hapa, shuka chini (scroll down) ukurasa huu utayaona na ikiwa bado hakuna wauzaji wowote basi hutaona tangazo lolote kuhusiana na biashara ya simu za Samsung

Kwa upande wa wauzaji/muuzaji tu: Ili kuweka tangazo lako hapa wasiliana na sisi kwa namba zifuatazo; 0765553030 / 0712202244 au 0761002125

 

MATANGAZO:

Hakujawa na tangazo bado, kuwa wa kwanza kuweka tangazo lako hapa LINALOHUSIANA NA UUZAJI WA SIMU ZA SAMSUNG ZENYE UBORA WA HALI YA JUU

KARIBUNI SANA!

0 Response to "WAUZAJI NA WANUNUZI WA SIMU ZA SAMSUNG"

Post a Comment