MPANGO WA SOKO | JIFUNZE UJASIRIAMALI

MPANGO WA SOKO

SOMO LA SABA
SOMO LA 7


4.0 TATHMINI YA SOKO

 

Mambo utakayojifunza ni haya yafuatayo;-

·       Wateja wako ni kina nani?

·       Mahitaji ya wateja na tabia zao

·       Kwanini wanunue kutoka kwako na siyo kwa washindani wako?

·       Mwelekeo wa soko na jinsi wateja walivyosambaa

·       Ukubwa wa soko unalomiliki

·       Ukuaji wa soko

·       Tathmini ya sekta uliyopo

·       Washindani wako wakubwa

·       Tathmini ya Nguvu, Udhaifu, Fursa  na Vikwazo

Tathmini ya soko imegawanyika katika vipengele vidogo kadhaa ambavyo vyote ili uweze kuviandika unahitaji kupata takwimu na taarifa mbalimbali nje ya biashara yako zinazohusiana na soko au wateja watarajiwa, sekta ya biashara uliyopo pamoja na ushindani.

Taarifa hizi na takwinu mbalimbali utaweza kuzipata kupitia kufanya utafiti wa soko ambao unaweza kwenda moja kwamoja kuwauliza wateja wanaonunua bidhaa/huduma kama unazotarajia kuuza au kwa njia ya machapisho mbalimbali kutoka taasisi na vyombo vya habari kama vile majarida,wajasiriamali, wizara za serikali kama Wizara ya viwanda na biashara, Serikali za mitaa,  ofisi au tovuti ya takwimu ya Taifa nk.

Kwenye utafiti wako wa soko hakikisha unawajua vizuri wateja wako, fahamu idadi yao na unaweza kujua idadi hiyo…………………..

 …………………….Inaendelea kwenye group la Michanganuo-online


Semina hii iliyofanyika katika group la Michanganuo-online unaweza ukaipata muda wowote ule katika mfumo wa e-book ukiwa mwanachama wa group hilo. Unaidownload katika channel yetu ya telegram au pia tunaweza kukutumia moja kwa moja inbox katika watsap ama email yako.

Kama unahitaji kupata semina hii pamoja na masomo mengine yote yaliyowahi kufundishwa katika group letu zaidi ya masomo 70 jiunge kwa kutoa kiingilio chako sh. Elfu 10 tu na ada hii ni ya miezi 12/mwaka mzima.

Kulipia tumia namba zetu, 0712202244 au 0765553030 jina ni Peter Augustino Tarimo na ujumbe watsap au sms usemao “NATAKA SEMINA KUBWA YA KUANDIKA MICHANGANUO”

 

  

0 Response to "MPANGO WA SOKO"

Post a Comment