MAELEZO KUHUSU MIKAKATI NA UTEKELEZAJI | JIFUNZE UJASIRIAMALI

MAELEZO KUHUSU MIKAKATI NA UTEKELEZAJI

SOMO-LA-NANE

SOMO LA 8


5.0 MIKAKATI NA UTEKELEZAJI.

Mikakati.
Mikakati ni malengo au vipaumbele vya biashara yako ulivyochagua miongoni mwa vitu vingine vingi ili kuifanya biashara hiyo iweze kuibuka kidedea kutoka washindani wengine wanaofanya biashara kama ya kwako.

Unapoitazama biashara nzima kuna mambo/vitu mbalimbali kama vile, bidhaa/huduma za aina mbalimbali, makundi tofauti ya wateja, vyanzo mbalimbali vya mtaji, njia tofauti za kuitangaza biashara, bei tofauti, mauzo au kitu chochote kile kingine. Sasa hebu jiulize katika makundi au aina ya vitu hivyo mbalimbali, ni kipi unachokipa kipaumbele zaidi kwenye biashara yako?, na hicho ndicho kinachoweza kuwa moja kati ya mikakati yako.

Kabla hujaielezea mikakati ya biashara yako kwanza unatakiwa ufahamu vizuri ni mahitaji gani ya wateja biashara yako inayoyakidhi pamoja na sifa za kipekee huduma au bidhaa zako zilizokuwa nazo ambazo bidhaa na huduma za washindani wako hazina.

Katika kipengele hiki cha mikakati,…………………..

 …………………….Inaendelea kwenye group la Michanganuo-online


Semina hii iliyofanyika katika group la Michanganuo-online unaweza ukaipata muda wowote ule katika mfumo wa e-book ukiwa mwanachama wa group hilo. Unaidownload katika channel yetu ya telegram au pia tunaweza kukutumia moja kwa moja inbox katika watsap ama email yako.

Kama unahitaji kupata semina hii pamoja na masomo mengine yote yaliyowahi kufundishwa katika group letu zaidi ya masomo 70 jiunge kwa kutoa kiingilio chako sh. Elfu 10 tu na ada hii ni ya miezi 12/mwaka mzima.

Kulipia tumia namba zetu, 0712202244 au 0765553030 jina ni Peter Augustino Tarimo na ujumbe watsap au sms usemao “NATAKA SEMINA KUBWA YA KUANDIKA MICHANGANUO”

 

 

0 Response to "MAELEZO KUHUSU MIKAKATI NA UTEKELEZAJI"

Post a Comment