Kumbe
ule usemi kwamba Pesa haiwezi ikaleta furaha maishani ni kama danganya toto tu
na imebainika eti kwamba watu waliouanzisha msemo huu ni wale ambao walishawahi
kushika kiasi kikubwa sana cha fedha katika maisha yao. Chanzo kinasema kwamba
haiwezekani kabisa maneno haya wakayasema watu masikini ambao katika maisha yao
yote hawajawahi kumiliki hata milioni moja, kwanza watajuajejuaje kama pesa
haiwezi kuwafanya wawe na furaha ili-hali hawajawahi kuzikamata hizo pesa? Je ni kweli fedha haina uwezo wa kuleta furaha?
……………………………………………….
Naomba
tuungane leo hii saa 3 usiku kwenye Master Mind Group la MICHANGANUO-ONLINE
whatsap, ambapo somo hili litafundishwa mpaka mwisho. Kujiunga na group hili la
masomo adimu kabisa ya kila siku, lipia sh. Elfu 10 tu ambayo unapata na offa
ya vitu vingine vingi, ni vitabu, michanganuo, masomo na seminars mbalimbali
zilizokuwa compiled katika PDF tofauti tofauti zipatazo 18.
Nitakupa
pia na kitabu changu kipya kabisa kiitwacho,
SAIKOLOJIA NA UTAMBUZI
WA HALI YA JUU KIFEDHA
(ADVANCED MONEY LITERACY & PSYCHOLOGY)
Madini
haya nitakayokutumia kwa njia ya email au watsap yako ni mengi na ikiwa wewe ni
mtu unayependa kujifunza ujasiriamali ‘seriously’ kwa kweli utatamani uongeze hata
hela, hutaamini kama kwa sh. Elfu 10 tu unaweza ukapata vitu vyote hivi. Kwa bahati
mbaya sana hii OFFA haitadumu kwa muda mrefu, hivyo siwezi kuku ‘guarantee’ itaisha
lini. Cha muhimu kama wewe unapenda ujasiriamali basi ni kuwahi mapema.
Namba
za malipo, ni 0765553030 au 0712202244 na jina langu mwenyewe litatokea, Peter
Augustino Tarimo
Kwa
somo jingine zuri kamili na la hivi punde fungua hapa chini usome,
0 Response to "WATU KUDAI PESA HAIWEZI KULETA FURAHA MAISHANI, SABABU NZITO YABAINIKA"
Post a Comment