Utangulizi.
Karibu tena leo kwenye Semina yetu hii ya Jinsi ya kuandaa
mahesabu katika Mchanganuo wa biashara ikiwa leo ni siku ya pili. Jana tulipata
maelezo ya kina sana ya kila kipengele kinachohusika na namba au hesabu tangu
mwanzo mpaka mwisho wa Mchanganuo wa Biashara.
Leo kwa kutumia mchanganuo halisi tuliokwisha usoma siku
zilizopita tutatumia hesabu na namba zake katika kufahamu namna
zilivyopatikana. Kwa kuwa kanuni zinafanafana kwenye michanganuo yote, basi
ukielewa mchanganuo huu utaweza pia kuandaa mwenyewe hesabu kwenye mchanganuo
mwingine wowote ule.
SOMA: Yaliyomo kwenye semina hii nzima ya jinsi ya kuandaa hesabu za mpango wa biashara.
SOMA: Yaliyomo kwenye semina hii nzima ya jinsi ya kuandaa hesabu za mpango wa biashara.
Mchanganuo tutakaoutumia hapa leo ni wa
biashara iitwayo JANE RESTAURANT, Jane Restaurant ni muendelezo wa biashara
iliyokuwa hapo mwanzo ikiitwa Jane Fast Food(tuna mchanganuo wake
mzima pia katika kitabu chetu cha Michanganu ya Biashara na Ujasiriamali) Baada
ya mmiliki wake kuamua kuipandisha hadhi kwa kuongeza mtaji zaidi, vifaa na
eneo ndipo akaamua kuiita Jane Restaurant.
Hebu naomba nisiongee sana tuingie kwenye
hesabu moja kwa moja kwani ndio lengo letu kubwa kwa siku ya leo na kesho.
..........................................................
Semina hii bado inaendelea katika Group la MICHANGANUO-ONLINE mpaka kesho itakapomalizika rasmi. Hata hivyo kwa yule ambaye hakupata nafasi jana na leo bado anaweza kulipia kiingilio sh. elfu 10 akajiunga na tukampatia sehemu zote alizokosa. Pia tunampa masomo mengine mengi yaliyopita, michanganuo na vitabu mbalimbali na ataendelea kuwa mwanachama wa group hili mpaka mwaka uishe kama ataamua mwenyewe huku akinufaika na masomo yanayotolewa mara kwa mara zikiwemo semina.
Kulipia namba ni, 0712202244 au 0765553030 jina hutokea Peter Augustino Tarimo. Kisha tuma ujumbe, "NIUNGANISHE NA SEMINA"
Semina hii ni muhimu sana kwa mtu anayependa kuweka mpango wa biashara yake kwa ajili ya kuombea fedha, lakini pia kwa ajili ya kuendesha biashara kwa ufanisi wa hali ya juu. Ni mafunzo ambayo si rahisi kuyapata ppote pale kwa gharama hii ya sh. elfu 10 tena pamoja na masomo mengine mengi ya thamani. Hii ni offa na kuna muda utafika bei hii itabadilika kwa hiyo wahi fursa hii adimu leo!
WASAP: 0765553030
SIMU: 0712202244
SOMA PIA,
Siku ya kwanza ya Semina ya jinsi ya kuandika hesabu za mchanganuo wa biashara
Jinsi ya kuchora na kutumia chati na grafu katika mpango wa biashara
..........................................................
Semina hii bado inaendelea katika Group la MICHANGANUO-ONLINE mpaka kesho itakapomalizika rasmi. Hata hivyo kwa yule ambaye hakupata nafasi jana na leo bado anaweza kulipia kiingilio sh. elfu 10 akajiunga na tukampatia sehemu zote alizokosa. Pia tunampa masomo mengine mengi yaliyopita, michanganuo na vitabu mbalimbali na ataendelea kuwa mwanachama wa group hili mpaka mwaka uishe kama ataamua mwenyewe huku akinufaika na masomo yanayotolewa mara kwa mara zikiwemo semina.
Kulipia namba ni, 0712202244 au 0765553030 jina hutokea Peter Augustino Tarimo. Kisha tuma ujumbe, "NIUNGANISHE NA SEMINA"
Semina hii ni muhimu sana kwa mtu anayependa kuweka mpango wa biashara yake kwa ajili ya kuombea fedha, lakini pia kwa ajili ya kuendesha biashara kwa ufanisi wa hali ya juu. Ni mafunzo ambayo si rahisi kuyapata ppote pale kwa gharama hii ya sh. elfu 10 tena pamoja na masomo mengine mengi ya thamani. Hii ni offa na kuna muda utafika bei hii itabadilika kwa hiyo wahi fursa hii adimu leo!
WASAP: 0765553030
SIMU: 0712202244
SOMA PIA,
Siku ya kwanza ya Semina ya jinsi ya kuandika hesabu za mchanganuo wa biashara
Jinsi ya kuchora na kutumia chati na grafu katika mpango wa biashara
0 Response to "SIKU YA PILI YA SEMINA: NAMBA NA HESABU NDOGONDOGO KWA VITENDO KWENYE MPANGO WA BIASHARA (JANE RESTAURANT)"
Post a Comment