MAAJABU YA KUNUNUA NA KUWEKA ASSETI KIDOGOKIDOGO KAMA NJIA YA KUTAJIRIKA KWA PESA KIDOGO | JIFUNZE UJASIRIAMALI

MAAJABU YA KUNUNUA NA KUWEKA ASSETI KIDOGOKIDOGO KAMA NJIA YA KUTAJIRIKA KWA PESA KIDOGO

rasilimali/asseti
Ipo njia rahisi mtu anayoweza akaitumia kutajirika kwa kuanza na fedha kidogo sana alizo nazo lakini bado watu wengi hawaitumii, tatizo ni nini? Watu hawayajui maajabu yaliyopo kwenye nguvu ya kujikusanyia kidogokidogo  rasilimali(assets) zenye uwezo wa kuzalisha kipato cha ziada na hivyo hupuuzia tu na kujisemea ni bora hela kidogo wanazopata waendelee tu kuzitumia kwa mambo mengine.


SOMA: Je wajua unaweza kumiliki kiwanja au nyumba bila kuwa na senti 5 mfukoni?

Kujijengea au Kujilimbikizia rasilimali maana yake ni kitendo cha kuwekeza fedha kwenye vitegauchumi vilivyokuwa na uwezo wa kuzalisha pesa kwa muda mrefu ujao. Kwahiyo pointi kubwa hapa ni kununua rasilimali na kuziweka au kuzilimbikiza  na siyo kununua na kuuza. Tunaponunua rasilimali maana yake tunawekeza fedha zetu lakini hiyo haimaanishi kuwa tunajijengea rasilimali kwani ni watu wengi wanaponunua rasilimali hawakai nazo huziuza na kutumia pesa hizo kwa mambo mengine mbali na uwekezaji.


Ili uweze kutajiriaka ni lazima ununue rasilimali na kisha kuziweka ili zidumu zikikuzalishia mapato kwa muda mrefu ujao. Kwahiyo tunaweza tukasema kwamba katika mchakato wa kujitengenezea utajiri mambo matatu ni lazima yatimizwe, mambo haya unaweza ukayalinganisha na “mafiga matatu” ya utajiri,.............

......................................

Ndugu msomaji somo hili zima litatolewa ndani ya group la masomo ya kila siku ya fedha na michanganuo ya biashara. Kiingilio ni sh. elfu 10 na unapata pia masomo yote ya toka mwezi Januari kupitia wasap au email yako. Unapata pia kuwa mwanachama wa kudumu wa group hilo.

Kulipia tumia namba 0765553030 au 0712202244 kisha tuma ujumbe, " Niunganishe na Group la Michanganuo". 

ASANTE NA KARIBU!

Peter A. Tarimo

0 Response to "MAAJABU YA KUNUNUA NA KUWEKA ASSETI KIDOGOKIDOGO KAMA NJIA YA KUTAJIRIKA KWA PESA KIDOGO"

Post a Comment