JINSI STRESS ZA PESA ZINAVYOWEZA KUZIMA KABISA NDOTO ZAKO NA HATUA ZA KUCHUKUA HARAKA | JIFUNZE UJASIRIAMALI

JINSI STRESS ZA PESA ZINAVYOWEZA KUZIMA KABISA NDOTO ZAKO NA HATUA ZA KUCHUKUA HARAKA

Mtu mwenye stress za pesa

Madeni, kushindwa kumudu mahitaji ya kila siku pamoja na kukosa muda wa kutosha kujumuika na familia kunakosababishwa na matatizo ya kifedha ni chanzo kikubwa sana cha vifo vya baadhi ya watu pasipo wao wenyewe kujijua. Tatizo hili ni muuaji wa taratibu (silent killer)

SOMA: Njia 10 za kuhamasika na kuendelea kubakia na hamasa hiyo kwa muda mrefu ujao. 

Matatizo makubwa mawili kiafya yanayowapata binadamu kutokana na dhiki ya fedha ni wasiwasi na msongo wa mawazo. Vitu hivi kwa kiasi kikubwa sana ndivyo vinavyohusishwa na magonjwa hatari ya moyo, kiharusi, vidonda vya tumbo, kisukari, kukosa usingizi, shinikizo la juu la damu na matatizo mengine mengi.

SOMA: Kwanini kufanikiwa kifedha si dhambi?

Magojwa haya yana uwezo wa kuudhoofisha mwili wa mtu na kumzuia kabisa asiweze kufurahi na familia yake, kupunguza uwezo wa kufanya kazi wa mtu na mwishowe kuzidisha mara dufu matatizo na dhiki za kifedha kwa mhusika.

SOMA: Njia 6 za kuondoa woga na stress za fedha katika maisha yako

Kwa hiyo mtu unapokuwa na mfadhaiko au ‘stress’ zitokanazo na matatizo ya fedha, kitu cha kwanza kabisa siyo kuanza kufikiria sana matokeo mabaya yatokanayo na wewe kushindwa kulipa madeni au kutomudu mahitaji yako ya msingi ya kila siku, bali cha kuanza kufanya ni kuwaza njia mbalimbali unazoweza ukazitumia ili kuweza kuboresha tena hali yako kifedha. Ikiwa utaendekeza hofu na mashaka, utashindwa kabisa kukabiliana na hali hiyo na mwisho utakaribisha magojwa yaliyotajwa hapo juu na kuzidisha hali kuwa mbaya zaidi............somo linaendelea...........

 

………………………………………..

Ndugu msomaji hili ni somo tunalokwenda kujifunza leo 20/07 2023 katika masomo yetu ya kila siku ndani ya GROUP la WHATSAPP la MICHANGANUO ONLINE, Tutachambua kwa kina zaidi jinsi stress zinavyoweza kusababisha madhara makubwa na hatua madhubuti za kuchukua haraka pindi mtu anapojikuta kwenye hali kama hiyo kabla hajapatwa na madhara zaidi.

Ndani ya group hili kila siku saa 3, tunajifunza masomo kuhusiana na Michanganuo ya biashara bunifu zinazolipa pamoja na jinsi ya kuboresha Mizunguko yetu ya fedha na katika biashara zetu.

Mbali na masomo hayo ya kila siki pia tunatoa ofa ya vitu mbalimbali 12 vifuatavyo katika mfumo wa softcopy pindi mtu anapojiunga. Offa hii ni ya muda mfupi na itaondolewa muda wowote hivyo ni ya kuwahi mapema ikiwa unaihitaji.

OFFA YA VITU 12 NI HII IFUATAYO

 

                 1.      COURSE/SEMINA: (compiled complete course) ya Jinsi ya kuandika Mchanganuo wa biashara –(Ukishindwa kuandika mchanganuo wako mwenyewe utarudishiwa pesa zako) - kwa kiswahili

                 2.      KITABU: Michanganuo ya Biashara na Ujasiriamali chenye course zote muhimu za BIASHARA, jinsi ya kuandaa michanganuo ya biashara na sample za michanganuo mbalimbali 10 iliyokamilika kila kitu. – kwa kiswahili

                 3.      KITABU: Mifereji 7 ya Pesa na Siri Matajiri wasiyopenda kuitoa -kiswahili

                 4.      KITABU: Siri za upishi wa chapati laini-UPENDO CAFE pamoja na Mchanganuo wake kamili.-kwa kiswahili

                 5.      KITABU: Njia rahisi ya kuandika mpango wa biashara-dakika 30 - kwa kiswahili

                 6.      KITABU: HOW TO WRITE A BUSINESS PLAN  ni maarufu sana duniani na ndio hutumika vyuo vikuu vingi.-kwa kiingereza

                 7.      MCHANGANUO: Kuku wa nyama -Tumaini Broilers - kwa kiswahili

                 8.      MCHANGANUO: Kuku wa nyama –kwa kiingereza

                 9.      MCHANGANUO: Ufyatuaji tofali za saruji- kwa kiswahili

              10.    MCHANGANUO: Mgahawa wa chakula-Jane Restaurant –kwa Kiswahili

              11.    MCHANGANUO: Mgahawa wa chakula-Jane Restaurant –kwa kiingereza

              12.    MCHANGANUO: Kiwanda cha usagishaji Dona (Usado milling) - kwa Kiswahili

              13.    Kuunganishwa Group la masomo ya kila siku ya fedha na michanganuo mwaka mzima ukitaka. (Mentorship group) (Ni hiyari yako lakini, usipotaka hatukuunganishi)

 

Kujiunga lipia ada ya mwaka sh. 10,000/= kupitia namba zetu; 0765553030 au 0712202244 kisha tuma ujumbe sms au watsap usemao;

NATAKA OFFA YA VITU 12 NA GROUP LA MASOMO KILA SIKU”

Unatumiwa masomo mengine yote yaliyopita, tuna masomo zaidi ya 80

Semina za michanganuo bunifu ya biashara zinazolipa haraka pia zinaanza wiki hii usikose!

 

Imeandaliwa na:

Peter Augustino Tarimo

0712202244

0765553030

0 Response to "JINSI STRESS ZA PESA ZINAVYOWEZA KUZIMA KABISA NDOTO ZAKO NA HATUA ZA KUCHUKUA HARAKA"

Post a Comment