Binadamu wa kwanza kutengenezwa na wanasayansi , kwa
mara ya kwanza ameonyeshwa katika jumba la makumbusho mjini Washington nchini
Marekani. Binadamu huyo kwa jina ‘Frank’ alitengenezwa katika chuo kikuu cha
Zurich kuonyesha namna uhandisi wa kibaiolojia ulivyopiga hatua kubwa katika
siku za hivi karibuni.
Anakaribia kuwa kama sisi kila kitu kuanzia moyo, maini
, figo, mikono, miguu, mishipa ya damu na kila kiungo ila kasoro moja tu ni kwamba hawajaweza kuunda ubongo.
BBC ilipomuuliza ‘mtu huyo wa bandia’ endapo watakuja
kuwa mbadala wa binadamu wa kawaida, alijibu
“hapana” bali wao ni kwa ajili tu ya kuwapa manufaa binadamu wa kawaida
hasa katika maswala ya kitabibu kama vile kubadilishana viungo vilivyofeli,
mfao figo, moyo, ini, na vinginevyo.
0 Response to "BINADAMU BANDIA WA KWANZA KUUNDWA NA WANASAYANSI AZUNGUMZA."
Post a Comment