SEMINA NA MAFUNZO: JINSI YA KUANDIKA MICHANGANUO YA BIASHARA KIVITENDO YAANZA TENA WIKI HII KWA KISHINDO! | JIFUNZE UJASIRIAMALI

SEMINA NA MAFUNZO: JINSI YA KUANDIKA MICHANGANUO YA BIASHARA KIVITENDO YAANZA TENA WIKI HII KWA KISHINDO!

 

Peter Augustino Tarimo (Mtaalamu wa Michanganuo ya biashara)

Ndani ya Programu yetu ya MAKE YOUR SELF GREAT AGAIN wiki iliyomalizika jana tulikuwa na zoezi zito la kuanzisha Usomaji wa kitabu Maarufu cha Think & Grow Rich.

Namshukuru Mungu zoezi limeenda vizuri na mpaka kufikia leo hii tumeshamaliza kusoma sura ya pili japo tunakwenda kwa mwendo wa kinyonga kidogo kwa lengo hasa la kutokuwaacha nyuma wenzetu wenye kasi ndogo ya usomaji.

Programu yetu tulisema itakuwa na vitu vingi ndani yake lakini kubwa zaidi ikiwa ni Mafunzo ya kina juu ya uandaaji wa Michanganuo ya biashara (Business planning).

Kwanini business planning? Ni kwa sababu mpango wa biashara ni kila kitu, ndani yake utakutana na vipengele vingine vyote vinavyounda biashara mfano masoko, mauzo, usimamizi, uongozi, fedha na kila kitu kingine kinachofanya biashara iitwe biashara.Tunaua ndege wote kwa jiwe moja tu!

Hivyo kuanzia Jumatatu ya tarehe 4/7/2025 tutaendelea na zoezi la mafunzo ya uandishi wa Michanganuo ya biashara hatua kwa hatua kwa vitendo na sasa badala ya kuwa na mchanganuo wa biashara moja tu wa kufundishia tutakuwa nayo mitatu (3). Hii inamaanisha kwamba tutakuwa na madarasa matatu tofauti yakiendelea kwa wakati mmoja

Unapojiunga sasa unakuwa na fursa ya kuchagua ni mchanganuo wa biashara ipi kati ya hii 3 ifuatayo utapenda kutumia kujifunzia;

1.   Kuku wa kisasa wa nyama

2.   Mgahawa wa chakula

3.   Shule ya Chekechea

Mara ujiungapo tu hivi unapewa mchanganuo wako kamili wenye kila kitu katika lugha zote 2, kiswahili na kiingereza ikiwa katika format 2 pia za PDF na Word document kwa ajili ya urahisi wa kwenda kuedit/kuhariri ikiwa utataka kuubadilisha uendane na biashara yako kwa matumizi mbalimbali kama vile kuombea mkopo mahali au tu kwa ajili ya kurahisisha  uendeshaji wa biashara yako.

Mchanganuo wa kujifunzia kwa Kiswahili na Kiingereza hauhusiani na ile michanganuo ya offa 7 pamoja na vitabu 5 jumla vitu 12 mtu anavyopewa pia punde anapojiunga. Unapata vyote, offa ya vitu 12 na mchanganuo wako wa kujifunzia kama kawaida labda tu pale OFFA itakapomalizika muda wake.

Mafunzo haya ya semina yataendeshwa kwa mfumo wa maandishi/text watsap, voice notes, videos na PDF ya somo zima mwishoni mwa semina

Mwisho wa kujiunga na madarasa kwa wiki hii ni Alhamisi, watakaojiunga Jumanne, Jumatano na Alhamisi watajifunza mafunzo yaliyotangulia kwa muda maalumu ili waweze kulingana na wenzao waliowahi. Kujiunga zaidi ya Alhamisi itabidi mtu asubiri madarasa ya wiki zinazofuata.

JINSI YA KUJIUNGA NA KIINGILIO

Ada ya mwaka ni Tsh. 20,000/= lakini ukiwahi kabla ya offa kuisha unalipia Tsh. 10,000/= tu

Chagua darasa pale juu ulipie sh. 10,000/= uje nikuunganishe chap, pamoja na kukutumia offa yako ya vitu 12 kama uonavyo hapo chini;

NB: Kwenye hii offa unaweza kuamua kubadilishiwa michanganuo, tazama orodha ya michanganuo mingine 20 niliyoweka kule chini mwishoni kabisa. Kubadilisha ni kabla ya kutumiwa, ukishatumiwa offa zako hamna tena fursa ya kubadilisha michanganuo.

Namba ya kulipia ni: 0761002125  Peter Augustino Tarimo

Baada ya malipo tuma ujumbe watsap /sms au piga 0765553030 / 07761002126 ukisema, “NATAKA OFFA NA KUUNGWA GROUP LA MAFUNZO 2025”

Utaungwa muda huohuo na kutumiwa kila kitu tulichoahidi.

 

VITU 12 VYA OFFA, VITABU & MICHANGANUO YA BIASHARA

 

                 1.      KITABU: Michanganuo ya Biashara na Ujasiriamali

                 2.      KITABU: Mifereji 7 ya pesa na Siri matajiri wasiyopenda kuitoa

                 3.      KITABU: Siri ya kujifunza Elimu ya Pesa na Mafanikio toleo jipya 2025

                 4.      KITABU: Jinsi ya kuandika mchanganuo mfupi wa biashara yako dk. 30 Tu (Lean Business plan)

                 5.      KITABU: How to Write a Business Plan – Kilichoandikwa na nguli wa michanganuo na hutumiwa na vyuo vikuu vingi duniani

                 6.      MCHANGANUO: Kiwanda cha usagishaji unga wa Dona (Usado milling)

                 7.      MCHANGANUO: Saluni ya kike (Rose Hair & Beauty salon)

                 8.      MCHANGANUO: Biashara ya kuuza chipsi (Amani  chips centre)

                 9.      MCHANGANUO: Kiwanda cha tofali za saruji (Kiluvya bricks)

              10.    MCHANGANUO: Kuku wa kisasa wa mayai (Mayai bora project)

              11.    MCHANGANUO: Events Planning in Dar es salaam (Margareta Events in Dar Bplan)

              12.    MCHANGANUO: Uongezaji thamani mashamba ya zabibu Dodoma (Makupila Real Estate Agency)

 

 

MICHANGANUO 20 YA KUCHAGUA KAMA ILIYOPENDEKEZWA HAPO JUU 7 HUJAIPENDA

         (1)          Genge la Matunda na Mboga (Double M Fresh)

         (2)          Duka la Rejareja (Msuya shopping centre)

         (3)          Duka la Jumla (MCD Provision Store)

         (4)          Saluni ya Kiume (Boys 2 Men Barber shop)

         (5)          Keki na Vitafunwa (Mam Bites)

         (6)          Kampuni ya Ulinzi (Nyuki security services)

         (7)          Sabuni za vipande (Takatisha soap & Detergents)

         (8)          Cafe ndogo ya chakula (Jane fast food)

         (9)          Steshenari (Neema stationery)

    (10)          Uuzaji wa matunda kwa ubunifu (Matunda bora)

    (11)          Mama lishe (Upendo cafe)

    (12)          Kilimo cha Matikiti maji (Kibada watermelon)

    (13)          Kiwanda cha mvinyo na juisi ya Rosella (Choya investment co. Ltd)

    (14)          Ufugaji wa nguruwe

    (15)          Uuzani wa gesi za kupikia majumbani

    (16)          Kiwanda cha kukoboa mpunga

    (17)          Kuku wa kienyeji ( Mayai asili project)

    (18)          Kuku Chotara (Kuroiler)

    (19)          Ushonaji nguo na kudarizi (Umoja wa mafundi cherehani)

    (20)          Utengenezaji Batiki, Masweta, Pochi na Mikoba (Kikundi cha Ushirika)

 

Muandaaji:

Peter A. Tarimo

Mtaalamu wa Michanganuo ya Biashara

Whatsapp/Call: 0765553030  au  0761002125




HUDUMA ZETU NYINGINE MBALIMBALI ZA MALIPO 

(VITABU & MICHANGANUO YA BIASHARA)

 

1. Kuandikiwa Mchanganuo wa Biashara yako

Tunaandika Mpango kamili wa biashara yeyote ile kwa Kampuni na wafanyabiashara binafsi kwa gharama rafiki, njoo tuzungumze kupitia namba za simu au wasap 0765553030 / 0761002125 Michanganuo yetu tunaandaa kulingana na maono ya mteja kama yalivyo pamoja na mazingira ya soko linalomzunguka

2. Kitabu cha MAFANIKIO YA BIASHARA YA DUKA LA REJAREJA

Kitabu hiki kilichowasaidia wajasiriamali wengi wadogo na wale wa kati kinatatua changamoto mbalimballi za biashara za rejareja kubwa ikiwa ni usimamizi wa mapato yasipotee au kudokolewa kiholela na wasaidizi wako, ni uzoefu wa miaka 12 wa mwandishi mwenyewe kwenye hii biashara.

Kukipata unaweza kulipia Tsh. 10,000/ kupitia namba 0761002125 jina peter Augustino Tarimo, kisha nitakutumia kitabu chako kwenye simu au kompyuta mara moja. Au pia unaweza ukatembelea duka letu la mtandaoni kukinunua hapo kwa kiungo hiki>>MAFANIKIO YA BIASHARA DUKA LA REJAREJA

 

3. Kitabu cha THINK & GROW RICH –SWAHILI EDITION (FIKIRI & UTAJIRIKE)

Kitabu hiki kilichosomwa duniani na zaidi ya watu milioni 100 tunayo nakala ya Kiswahili kwa bei zifuatazo;

Nakala ngumu hardcopy ukiwa Dar es salaam ni Tsh. 25,000/=  – Tunakuletea mpaka pale ulipo, ukishapokea kitabu ndipo unalipa pesa

Ukiwa mikoa mingine Tanzania tunatuma kitabu kwa njia ya Mabasi kwa  gharama jumla Tsh. 35,000/= kitabu na usafiri

Nakala laini Softcopy; Ukiwa popote pale Duniani unaweza kukipata kwenye mtandao wa GETVALUE kupitia kiungo hicho kibofye kuingia ununue sasa hivi na kukidownload.

4. Vitabu zaidi &Michanganuo mbalimbali ya biashara

Kwa vitabu zaidi na Michanganuo mbalimbali ya biashara iliyo tayari tembelea duka letu hili  la mtandaoni uweze kuona na kujinunulia kwa urahisi kabisa>>SELF HELP TANZANIA ONLINE BOOSHOP



0 Response to "SEMINA NA MAFUNZO: JINSI YA KUANDIKA MICHANGANUO YA BIASHARA KIVITENDO YAANZA TENA WIKI HII KWA KISHINDO!"

Post a Comment