WAUZAJI NA WANUNUZI WA PIKIPIKI USED NA MPYA TANZANIA | Jifunzeujasiriamali

WAUZAJI NA WANUNUZI WA PIKIPIKI USED NA MPYA TANZANIA

Wauzaji na wanunuzi wa bidhaa na huduma Tanzania

Kama wewe ni muuzaji wa pikipiki Tanzania mkoa wowote ule unakaribishwa katika blogu hii ya jifunzeujasiriamali kutangaza biashara yako uweze kukutana na wanunuzi wa pikipiki mpya ama zile zilizotumika kidogo tu (pikipiki used).

Gharama ya kuweka tangazo lako katika ukurasa huu ni kidogo mno karibia na bure kabisa na unaweza ukatangaza kwa muda wowote ule utakao wewe iwe ni mwezi mmoja, miwili, mitatu na kuendelea ni wewe tu. Njoo kabisa na picha nzuri ya tangazo lako tukuwekee

Aidha pia kama wewe ni mnunuzi wa pikipiki namaanisha unatafuta pikipiki ya kununua mpya au iliyotumika (used) basi ukurasa huu unaweza kukutana na muuzaji wa pikipiki pia anayeaminika, bure kabisa pasipo malipo yeyote ilimradi tu uhakikishe mnafanya mauziano kwa kufuata taratibu zote halali kisheria. Kwa matangazo yaliyokwishawekwa shuka chini (scroll down) ukurasa huu utayaona na ikiwa bado hakuna wauzaji wa pikipiki used au mpya waliojitokeza basi hutaona tangazo lolote

Kwa wauzaji/muuzaji tu: Ili kuweka tangazo lako hapa wasiliana na sisi kwa namba zifuatazo;  0765553030  /  0712202244 au 0761002125

 

MATANGAZO:

Hakujawa na tangazo bado la wauzaji wa pikipiki used au mpya, kuwa wa kwanza kuweka tangazo lako hapa.

NYOTE MNAKARIBISHWA!


0 Response to "WAUZAJI NA WANUNUZI WA PIKIPIKI USED NA MPYA TANZANIA"

Post a Comment