WAUZAJI NA WANUNUZI WA CHAJA ZA SIMU | Jifunzeujasiriamali

WAUZAJI NA WANUNUZI WA CHAJA ZA SIMU

wauzaji na wanunuzi tanzania

Kama wewe ni muuzaji wa Chaja za simu unakaribishwa katika blogu hii ya jifunzeujasiriamali kutangaza biashara yako uweze kukutana na wanunuzi wa Chaji za simu. 

Gharama ya kuweka tangazo lako katika ukurasa huu ni kidogo mno karibia kabisa na bure na unaweza ukatangaza kwa muda wowote ule utakao wewe iwe ni mwezi mmoja, miwili, mitatu na kuendelea ni wewe tu.Njoo kabisa na picha nzuri ya tangazo lako tukuwekee

Aidha pia kama wewe ni mnunuzi wa Chaji za simu nikimaanisha unataka kununua Chaja za simu kwa bei rafiki, katika ukurasa huu unaweza kukutana na wauzaji/muuzaji wa Chaji za simu jumla na rejareja bure kabisa bila ya malipo yeyote yale.

Kwa matangazo yaliyokwishawekwa tayari hapa, shuka chini (scroll down) ukurasa huu utayaona na ikiwa bado hakuna wauzaji wowote wale waliojitokeza basi hutaona tangazo lolote kuhusiana na biashara ya Chaja za simu za mkononi

Kwa upande wa wauzaji/muuzaji tu: Ili kuweka tangazo lako hapa wasiliana na sisi kupitia watsap, sms au simu kwa namba zifuatazo; 0765553030 / 0712202244 au 0761002125

 

MATANGAZO:

Hakujawa na tangazo bado, kuwa wa kwanza kuweka tangazo lako hapa LINALOHUSIANA NA UUZAJI WA CHAJA ZA SIMU ZA MKONONI AU SIMU ZA AINA NYINGINEZO 

KARIBUNI SANA!

0 Response to "WAUZAJI NA WANUNUZI WA CHAJA ZA SIMU"

Post a Comment