SABABU 4 KWANINI HUWA TUNATUMIA PESA NYINGI KULIKO KIASI TUNACHOPASWA KUTUMIA | JIFUNZE UJASIRIAMALI

SABABU 4 KWANINI HUWA TUNATUMIA PESA NYINGI KULIKO KIASI TUNACHOPASWA KUTUMIA

Kutumia pesa

Mtu anaweza akawa anazijua njia zote za kuepukana na matumizi mabaya ya fedha lakini bado tu akajikuta pasipo yeye kufikiri wala kuchukua tahadhari anatumia pesa kupita kiasi anachotakiwa kutumia. Hili hutokana na ubongo wa binadamu kuwa na “ujanja” mwingi. Ubongo wetu ulivyo, huwa unatengeneza kitu kama mtego wa kutunasa na sisi bila ya kujua tunajikuta tumetumbukia.



Ni jinsi gani unavyoweza ukajisaidia mwenyewe na kukwepa matumizi yasiyokuwa ya lazima, unahitaji kufahamu ni vikwazo au sababu zipi zinazoweza kukufanya uingie mtego huo na kisha utafute njia ya kukabiliana nazo. Sababu hizo ni  hizi zifuatazo;

1. HOFU YA KUPOTEZA:

Hofu hii ni ya ndani kabisa, hutuzunguka muda wote unapokuwa tukitaka kununua kitu au hata wakati mwingine kuuza kitu. Huwa tunahofia kupoteza fursa fulani na hivyo kufanya manunuzi ya vitu kwa pupa pasipo kwanza kufikiria wala kupima uzuri na ubaya wake....................................................................................................... 

................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................

Mpendwa msomaji, Somo hili zima litapatikana katika darasa letu watsap la masomo ya fedha kila siku  leo tarehe 7/6/2023 usiku saa 3. Ikiwa bado hujajiunga kujiunga kiingilio ni sh. elfu 10 kupitia namba 0765553030 au 0712202244. 

Tunakutumia masomo yote yaliyopia pamoja OFFA ya vitabu na michanganuo kamili ya biashara mbalimbali. Jumla ni vitu 12

Ada hii ni ya mwaka mzima. Ikiwa hupendi kujiunga na Group unaweza kututumia anuani yako ya email na tukakutumia kila kitu kupitia email badala ya wasap.

Na hii ndiyo OFFA yenyewe ya vitu 12;

 

                 1.      COURSE/SEMINA: (compiled complete course) ya Jinsi ya kuandika Mchanganuo wa biashara –(Ukishindwa kuandika mchanganuo wako mwenyewe utarudishiwa pesa zako) - kwa kiswahili

                 2.       KITABU: Michanganuo ya Biashara na Ujasiriamali chenye course zote muhimu za BIASHARA, jinsi ya kuandaa michanganuo ya biashara na sample za michanganuo mbalimbali 10 iliyokamilika kila kitu.kwa kiswahili

                 3.      KITABU: Mifereji 7 ya Pesa na Siri Matajiri wasiyopenda kuitoa -kiswahili

                 4.      KITABU: Siri za upishi wa chapati laini-UPENDO CAFE pamoja na Mchanganuo wake kamili.-kwa kiswahili

                 5.       KITABU: Njia rahisi ya kuandika mpango wa biashara-dakika 30 - kwa kiswahili

                 6.       KITABU: HOW TO WRITE A BUSINESS PLAN  ni maarufu sana duniani na ndio hutumika vyuo vikuu vingi.-kwa kiingereza

                 7.       MCHANGANUO: Kuku wa nyama -Tumaini Broilers - kwa kiswahili

                 8.      MCHANGANUO: Kuku wa nyama –kwa kiingereza

                 9.      MCHANGANUO: Ufyatuaji tofali za saruji- kwa kiswahili

              10.    MCHANGANUO: Mgahawa wa chakula-Jane Restaurant –kwa Kiswahili

              11.    MCHANGANUO: Mgahawa wa chakula-Jane Restaurant –kwa kiingereza

              12.    MCHANGANUO: Kiwanda cha usagishaji Dona (Usado milling) - kwa Kiswahili

              13.    Kuunganishwa Group la masomo ya kila siku ya fedha na michanganuo mwaka mzima ukitaka. (Mentorship group) (Ni hiyari yako lakini, usipotaka hatukuunganishi)


Somo hii limeandaliwa na:

Peter Augustino Tarimo

Mtaalamu wa Michanganuo ya biashara aina zote

Phone/Watsap: 0765553030 au 0712202244



SOMA NA HIZI HAPA: 

1. Biashara 7 nzuri za kufanya zitakazokuingizia pesa hata kama umelala

2. Njia 7 halali na nzuri za kupata mafanikio na utajiri 

0 Response to "SABABU 4 KWANINI HUWA TUNATUMIA PESA NYINGI KULIKO KIASI TUNACHOPASWA KUTUMIA"

Post a Comment