MPANGO WA BIASHARA SALUNI YA KIUME (2) MCHANGANUO WA SOKO | JIFUNZE UJASIRIAMALI

MPANGO WA BIASHARA SALUNI YA KIUME (2) MCHANGANUO WA SOKO

Leo ikiwa ni siku ya pili ya semina yetu ya jinsi ya kuandika michanganuo ya biashara awamu ya pili, tunachanganua sehemu ya Soko ya biashara ya saloon ya kiume iitwayo, Boys to Men Barber Shop, saluni iliyopo Mtaa wa Agrey Kariakoo jijini Dar es salaam baada ya jana kuchambua vipengele vya kampuni, huduma, mikakati & utekelezaji na Utawala & wafanyakazi.


Soko ni kipengele muhimu sana katika mpango wowote ule wa biashara na ndiyo sehemu inayohitaji utafiti nje ya biashara zaidi kuliko vipengele vingine. Katika somo hili ndani ya blogu hii MAALUMU YA MICHANGANUO YA BIASHARA, utaweza kufahamu kwa undani namna soko la biashara hii ya saluni lilivyo, jinsi unavyoweza kukusanya taarifa mbalimbali za soko na unavyotakiwa kuandika na kuvipanga vipengele vyake vidogo.

Karibu wewe ambaye bado hujajiunga na semina hii ujiunge kwa kulipa ada yako shilingi, 10,000/= kwenye moja kati ya namba hizi, 0712 202244  au  0765 553030. Tuma pia kwa njiaya meseji anuani yako ya barua-pepe (GMAIL) ambayo tutaitumia wakati wa kukutumia masomo kwa njia za pdf na mp3 pamoja na kukuunganisha na BLOGU YA MASOMO YA SEMINA.


Kwa washiriki wote walikwishajiunga tangu awamu ya kwanza ya semina hawatalipa tena kwenye awamu hii, bali wataendelea kujifunza masomo kama kawaida sambamba na wale wanaojiunga sasa. Na wale wanaojiunga sasa pia watapata fursa sawasawa na waliyopata waliotangulia kwani masomo yote yapo katika blogu hiyo.

KARIBU, SEMINA INAENDELEA.    


0 Response to "MPANGO WA BIASHARA SALUNI YA KIUME (2) MCHANGANUO WA SOKO"

Post a Comment