SOMO LA 3, JALADA LA NJE LA MPANGO WA BIASHARA, YALIYOMO NA KICHWA CHA HABARI | JIFUNZE UJASIRIAMALI

SOMO LA 3, JALADA LA NJE LA MPANGO WA BIASHARA, YALIYOMO NA KICHWA CHA HABARI


Darasa letu linaendelea kwenye blogu ya Semina ya Michanganuo ya biashara na katia somo letu hili tunajadili mada unazoziona hapa chini, pia huwa tunaweza kujadili kitu kingine chochote kinachohusiana na mpango wa biashara endapo mshiriki yeyote atauliza au kutoa mchango wake.

Mada za somo hili kwenye Darasa letu ni hizi hapa chini,

            ·      Jalada la nje la mchanganuo wa biashara
·      Vitu muhimu vinavyopaswa kuwa juu ya jalada la nje  
·       Kichwa cha habari cha mchanganuo wa biashara
            ·  Yaliyomo.

JALADA LA NJE(COVER PAGE)
Vitu muhimu vinavyopaswa kuonekana juu ya jalada la nje ni;

·       Jina la biashara 
·       Tarehe na mwaka wa kuandikwa mchanganuo huo
·       Anuani ya biashara pamoja na

·       Anuani au jina la mwandishi/majina ya waandishi

SOMO HILI LINAENDELEA HATIKA DARASA LA SEMINA YA MICHANGANUO, JIUNGE ILI UWEZE KUSOMA SOMO ZIMA

Kama unapenda masomo haya na ungependa kujiunga na darasa bado hujachelewa nafasi ipo, wala hujapitwa na somo kwani masomo yote huhifadhiwa katika blogu ya MICHANGANUO kwa ajili ya mtu yeyote anayeyahitaji. Unachopaswa kukifanya ni kulipia semia shilingi elfu 10 tu ambapo utaunganishwa na darasa pamoja na kupewa bila malipo kitabu cha MICHANGANUO YA BIASHARA NA UJASIRIAMALI kikiwa katika mfumo wa kielektroniki(softcopy).

Lakini ikiwa kama utataka kitabu cha karatasi(Hardcopy) utalipia semina shilingi elfu 10 kama kawaida lakini kitabu hicho cha karatasi utapewa kwa bei ya punguzo la shilingi elfu 10 badala ya bei ya kawaida ya shilingi elfu 20 (usisahau na chaji ya usafiri kama upo mkoani, kwa Dar tunakuletea ulipo)

Masomo hayachagui upo sehemu gani, mkoa wowote ule au nchi yeyote ile unaweza kushiriki, na kuhusu kitabu hata kama upo mkoani na ukapenda utumiwe kitabu cha karatasi inawezekana lakini inabidi uongeze gharama kidogo za kukisafirisha ambazo mara nyingi hutegemea na umbali, kuna mikoa watu wa mabasi huchaji mpaka sh. 10,000/-  lakini kwa mikoa ile ya karibu haizidi shilingi, 5,000/=

Hata hivyo ukiwa mikoani, mkoa wowote ule na ukataka kitabu cha kielektroniki(softcopy) kupitia e-mail yako,  bei itabakia ni ile ile shilingi 10,000/=. Kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kuingia katika blogu ya mafunzo ya michanganuo bonyeza hapa.

Kitabu cha MICHANGANUO YA BIASHARA NA UJASIRIAMALI ni kitabu cha kipekee kabisa kilichobeba masomo karibu yote yahusianayo na Biashara na Ujasiriamali kwa ujumla. Ni kitu gani kinachokutatiza katika biashara yako hautakikuta ndani ya kitabu hiki?

Kitabu hiki nakifananisha na soko la Kariakoo, Hivi unafahamu ni kwa nini kutwa kucha watu wengi hupenda kukimbilia Kariakoo kujinunulia mahitaji yao?

Kwanini uhangaike juani mara Manzese, mara Buguruni, Sijui Ilala kutafuta mahitaji tofauti wakati kila kitu unaweza kukipata kariakoo? Tulia sehemu moja uepukane na gharama za nauli na kupoteza muda wako wa thamani, muda ndiyo rasilimali pekee duniani ambayo huwezi ukairudisha tena maisha yako yote.

KARIBU TUJIFUNZE PAMOJA TUPIGE HATUA KUTOKA PALE TULIPO SASA NA KUSONGA MBELE ZAIDI KIUCHUMI.

Mwandishi na mhamasishaji wako;
Peter A. Tarimo
0712 202244

0765 553030





0 Response to "SOMO LA 3, JALADA LA NJE LA MPANGO WA BIASHARA, YALIYOMO NA KICHWA CHA HABARI"

Post a Comment