Leo Rais wa Kenya, Uhuru
Kenyatta akifungua barabara mpya ya reli Kanda ya Afrika Mashariki na nchi
nyingine za Maziwa makuu ametema cheche kwa kusema kwamba madai ya Tanzania
kutengwa katika Jumuiya ya A.Mashariki hayana msingi.
Kauli hii ya
Kenyatta inakuja baada ya Rais wa Tanzania alipokuwa akilihutubia Bunge laJamhuri ya Muungano kuzishutumu Kenya, Uganda na Rwanda kwa kujitenga na
Tanzania na Burundi katika maswala yanayoihusu Jumuiya ya Afrika Mashariki
Msikilize Rais Uhuru alivyokuwa akitema cheche hapa;
0 Response to "MADAI YA KUITENGA TANZANIA A.MASHARIKI KENYATTA ATEMA CHECHE"
Post a Comment