Mawasiliano

Mawasiliano


SELF HELP BOOKS PUBLISHERS LTD 

Namba za simu / Whatsap:
0712 202244
0765 553030

E-mail:  jifunzeujasiriamali@gmail.com

Ofisi:

Tupo Mbezi -Kimara 


22 Responses to "Mawasiliano"

  1. Mnafanya kazi nzuri sana, tunaomba muwe na vituo vingi tu, ili iwe rahisi kwa wateja wenu kukutana na kupeana elimu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asante sana Igoho Investment tunajitajidi kutanua zaidi wigo wetu

      Delete
  2. Natamani kuanzisha kiwanda lakini mpaka sasa sijajua ni kiwanda gani kitakachoniwezesha kuzalisha, kupata soko na hatimaye kupata faida. Nisaidieni walimu wetu. Aidha naomba uwe mtu wa kuniongoza, utabarikiwa zaidi, namba yangu ni +255 655 835 134. KARIBUNI.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Unakaribishwa Igogo Investment, Ili uweze kuanzisha kiwanda unatakiwa ufanye kwanza Utafiti wa wazo unalotamani kuanzisha kisha ndipo utaweza kujua kama soko la bidhaa utakayozalisha lipo. Ukikuta hamna soko la uhakika unaweza kuachana nalo ukatafuta wazo la kiwanda kingine.

      Delete
  3. Email ni: iginvest125@gmail.com tuwasiliane.

    ReplyDelete
  4. Replies
    1. Jamani kwema mm kwamajina naitwa olivo misunza nifugaji wasungura toka mafinga iringa natafuta soko Nina sungura

      Delete
  5. Nataka kuanzisha biashara ya kununua mazao kama mahindi, maharage nk kuleta dar je nitapata soko la uhakika?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Inawezekana kabisa mpendwa na tenani biashara inayolipa lakini kitu kikubwa kwanza ni ufanye utafiti wa kutosha jinsi utakavyoendesha hiyo biashara hasa miundombinu pamoja na stoo utakayoweka mzigo wako kabla ya kuuza kwani wakati mwingi ili upate faida huhitaji presha za madalali, unatakiwa kuuza mzigo wako kwa nafasi pasipo hofu.

      Delete
  6. Mashine za juice naweza kupata kwenu? Bei gani?

    ReplyDelete
  7. Ingawa sisi hatushughuliki moja kwa mojana uuzaji wa mashine za juisi bali tunaandika makala za ujasiriamali, lakini mashine zinapatikana katika maduka mbalimbali jijini Dar na katikabaadhi ya Mikoa. Jitahidi kufanya utafiti zaidi uweze kujua ni maduka yapi ili uwaulize.

    ReplyDelete
  8. Jamani mimi Nina IQ kubwa naaitaji msada 0788173623

    ReplyDelete
    Replies
    1. Unahitaji msaada wa namna gani, hebu sema ili tuweze kujua tutakusaidiaje, hata ikiwa ni kimawazo.

      Delete
  9. Mie nilikua nahitaji vitabu viwili kwa njia ya soft copy
    1. Michanganuo ya biashara na ujasiliamali
    2. Biashara za rejareja

    Nimewacheck kwa email sijajibiwa, jana nimewatumia kwa whatssap pia sijajibiwa. Nashindwa kuelewa tatizo nini

    ReplyDelete
    Replies
    1. Pole sana kwa changamoto hiyo natumaini tulishakuhudumia ikiwa bado tafadhali wasiliana namimi moja kwa moja kwa namba zangu 0765553030 au 0712202244, napatikana pia watsap kwa namaba zote mbili

      Delete
  10. Nataka kuanzisha biashara ya kufungua shamba LA ufugaji wa mbuzi wa nyama Kununua na kuuza pia naweza kuandikiwa business plan

    ReplyDelete
    Replies
    1. Huwa tunaandika Business plan ya biashara yeyote ile iwe kubwa, ya kati au ndogo na kwa lugha za kiswahili ama kiingereza kulingana na matakwa ya mteja mwenyewe. Wasiliana nasi kwa namba zetu 0765553030 au 0712202244 kwa ufafanuzi zaidi

      Delete
  11. Mimi ninaitwa novath Mjun ninataka kuanza biashara ndogo ndogo ushauri wenu jamani

    ReplyDelete
  12. Za saizi kaka,naitwa mohamedzuma kutoka kenya,nimefuraishwa na kazi unayofanya,ningetamani kupata kitabu cha siri ya mafikio ya biashara unaezaje kunisaidia

    ReplyDelete
  13. Ni Nini naweza kuanzisha na kikaniingizia kipato kwa mtaji wa 100000

    ReplyDelete
    Replies
    1. Uzaji wa vifaranya vya kuku wa kisasa.

      Delete