WAUZAJI NA WANUNUZI WA VIFARANGA WA KUKU WA MAYAI WA KISASA DAR ES SALAAM | Jifunzeujasiriamali

WAUZAJI NA WANUNUZI WA VIFARANGA WA KUKU WA MAYAI WA KISASA DAR ES SALAAM

Wauzaji & wanunuza wa bidhaa / huduma Tanzania
Kama wewe ni muuzaji wa vifaranga wa kuku wa mayai ya kisasa jijini Dar es salaam unakaribishwa katika blogu hii ya jifunzeujasiriamali kutangaza biashara yako uweze kukutana na wanunuzi wa vifaranga wa kuku wa mayai ya kisasa.

Gharama ya kuweka tangazo lako katika ukurasa huu ni kidogo mno karibia kabisa na bure na unaweza ukatangaza kwa muda wowote ule utakao wewe iwe ni mwezi mmoja, miwili, mitatu na kuendelea ni wewe tu.Njoo kabisa na picha nzuri ya bidhaa yako tukuwekee hapa

Aidha pia kama wewe ni mnunuzi wa vifaranga wa mayai wa kisasa, nikimaanisha unataka kununua vifaranga wa layers kwa bei rafiki, katika ukurasa huu unaweza kukutana na wauzaji/muuzaji wa vifaranga wa kuku wa mayai wa kisasa Dar es salaam kwa bei ya jumla na rejareja bure kabisa bila ya malipo yeyote yale.

Kwa matangazo yaliyokwishawekwa tayari hapa, shuka chini (scroll down) ukurasa huu utayaona na ikiwa bado hakuna wauzaji wowote wale waliojitokeza basi hutaona tangazo lolote kuhusiana na biashara ya vifaranga wa kuku wa mayai wa kisasa Dar

Kwa upande wa wauzaji/muuzaji tu: Ili kuweka tangazo lako hapa wasiliana na sisi kupitia watsap, sms au simu kwa namba zifuatazo; 0765553030 / 0712202244 au 0761002125

MATANGAZO:

Hakujawa na tangazo bado, kuwa wa kwanza kuweka tangazo lako hapa LINALOHUSIANA NA UUZAJI AU UNUNUZI WA VIFARANGA WA KUKU WA MAYAI WA KISASA DAR ES SALAAM

KARIBUNI SANA!

0 Response to "WAUZAJI NA WANUNUZI WA VIFARANGA WA KUKU WA MAYAI WA KISASA DAR ES SALAAM"

Post a Comment