Wale jamaa huko nchini India waliomvamia msichana wa chuo cha
uuguzi akiwa na mchumba ake, wakambaka na hatimaye kutokana na majeraha ya
kipigo akaenda kufia hospitalini nao leo hii mahakama imewahukumu adhabu ya
kunyongwa mpaka wafe. Lakini wanayo haki ya kukata rufaa kabla ya kuninginizwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "WALIOBAKA NA KUUA NAO KULA KITANZI HADI KUFA"
Post a Comment