- Kufahamu na kuzitumia mbinu mbalimbali
za ujasiriamali.
- Kubuni, kuanzisha na kuendeleza biashara zao kitaalamu.
- Kufaya utafiti kabla hawajaanzisha
biashara zao.
- Kuandaa michanganuo ya biashara zao.
- Kufahamu namna bora ya kuhifadhi
kumbukumbu na hesabu za biashara zao.
- Kujifunza jinsi ya kutafuta masoko ya
biashara zao.
- Kufahamu njia mbalimbali za kupata
mitaji.
- Kujifunza namna ya kufanya mauzo
kitaalamu.
- Kujifunza namna ya kutumia muda kwa
ufanisi.
- Kufahamu siri mbalimbali za watu waliofanikiwa ambao kamwe hawapendi kuziweka hadharani kirahisi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 Response to "Malengo yetu kwa wajasiriamali wadogo ni kwasaidia ili waweze."
Post a Comment