TABIA 9 ZITAKAZOBADILISHA KABISA MAISHA YAKO KIFEDHA | JIFUNZE UJASIRIAMALI

TABIA 9 ZITAKAZOBADILISHA KABISA MAISHA YAKO KIFEDHA

Tajiri Mo Dewj

Ikiwa umekuwa ukijiuliza mara kwa mara unaweza kufanya kitu gani ili uweze kuongeza spidi yako ya kuingiza pesa kuliko vile ilivyokuwa sasa, basi leo hii umepata majibu. Tunapozungumzia kuongeza kipato haijalishi una mtaji kidogo kiasi gani kwani ni lazima uanzie mahali fulani, hata mtu mwenye shilingi elfu 5 tu mfukoni anaweza kuanza kuwekeza kwa lengo la kuongeza uwezo wake wa kifedha na kuwekeza hakuanzii tu na kufungua mradi/biashara moja kwa moja bali huanzia na kuweka akiba kidogokidogo. 

SOMA: Siri 10 alizotumia Aliko Dangote tajiri namba moja Afrika

Hivyo si lazima uwe millionea kwanza ndipo ujiite mwekezaji, kuna miradi mingi unayoweza hata kuanza kuwekeza kwa buku, buku mbili na kuendelea, tutaona huko mbele taratibu kwenye masomo yetu yajayo.....

SOMA: Wanaofanikiwa maishani wengi husema 'NO' (Hapana) kwa vitu hivi 3

Sawa, hebu sasa moja kwa moja twende kwenye zile tabia 9 nilizosema mtu unaweza kujifunza na ukabadilisha kabisa maisha yako kifedha, ni tabia ambazo mamilionea wengi tokea enzi na enzi wamekuwa wanajijengea katika maisha yao na kitu cha kustaajabisha ni kwamba hamna mtu yeyote anayekaa chini na kuanza kuwafundisha mmoja baada ya mwingine bali imegundulika tu ni tabia wanazoshea bila hata ya wao wenyewe kujua.

Sasa ikiwa sisi tunapata bahati ya kujifunza huku kwenye mitandao katika nyakati hizi za digitali basi hatuna budi kuzifanyia kazi ili ziweze kutusaidia kuongeza “kuspeed up” uwezo wetu wa kupata pesa. Hebu zicheki, je unaendana nazo? Ikiwa nyingine ulikuwa huna basi jaribu kuzipalilia halafu uone matokeo yake, niamini utakuja kunitafuta unipe ushuhuda! ;.............

................................................................................................................................................................................................................................

SOMA: Kwanini kundi la kushauriana(Mastermind group) ni muhimu kwa kila anayetafuta mafanikio?

.................................................

Mpenzi msomaji wa blogu yako hii ya jifunzeujasiriamali, somo hili lenye maudhui ya pesa litaendelea leo hii 10/06/2023 kwenye MASTERMIND GROUP la MICHANGANUO-ONLINE saa 3 usiku. 

Blog yako hii itaendelea kukuwekea makala nzima bure mara kwa mara lakini pia utaona makala nusu kama hii ambazo huwa zina muendelezowake katika Group letu ambapo wanachama hulipia shilingi elfu 10 tu kwa mwaka mzima, gharama ambayo ukilinganisha na kwingineko ni karibu kabisa na bure. 

Ukijiunga tunakutumia OFFA ya Vitabu na michanganuo ya biashara bure (Jumla ni vitu 12) lakini pia tunakutumia masomo mengine yote tuliyojifunza kwenye group tangu lianze  masomo haya yaliyo na maudhui ya kifedha ni adimu kabisa hayapatikani kwingine kokote nje na ndani ya mtandao.

Ndani ya group mbali na masomo ya kila siku pia kuna semina za kuandika michanganuo ya biashara zenye fursa kubwa ya kulipa faida haraka pamoja na michanganuo mifupimifupi ya kiubunifu, nadhani ukijiunga utajionea mwenyewe na kufahamu vizuri kile ninachotaka kukuelezea hapa.

Group bado lina nafasi ingawa si nyingi kiasi cha mtu kuendelea kuchelewa kujiunga. 

Ikiwa unawiwa kujiunga usisite, lipia sasa hivi kiingilio chako sh. elfu 10 kupitia namba zangu hizi hapa. 0765553030 au 0712202244 jina ni Peter Augustino Tarimo na nitakutumia kila kitu pamoja na kukuunganisha na  group. Karibu sana tuweze kufanya mambo makubwa zaidi kama MASTERMIND GROUP LA KUSHAURIANA


VITU HIVYO 12 VYA OFFA NI HIVI VIFUATAVYO;-

                 1.      COURSE/SEMINA: (compiled complete course) ya Jinsi ya kuandika Mchanganuo wa biashara –(Ukishindwa kuandika mchanganuo wako mwenyewe utarudishiwa pesa zako) - kwa kiswahili

                 2.       KITABU: Michanganuo ya Biashara na Ujasiriamali chenye course zote muhimu za BIASHARA, jinsi ya kuandaa michanganuo ya biashara na sample za michanganuo mbalimbali 10 iliyokamilika kila kitu.kwa kiswahili

                 3.      KITABU: Mifereji 7 ya Pesa na Siri Matajiri wasiyopenda kuitoa -kiswahili

                 4.      KITABU: Siri za upishi wa chapati laini-UPENDO CAFE pamoja na Mchanganuo wake kamili.-kwa kiswahili

                 5.       KITABU: Njia rahisi ya kuandika mpango wa biashara-dakika 30 - kwa kiswahili

                 6.       KITABU: HOW TO WRITE A BUSINESS PLAN  ni maarufu sana duniani na ndio hutumika vyuo vikuu vingi.-kwa kiingereza

                 7.       MCHANGANUO: Kuku wa nyama -Tumaini Broilers - kwa kiswahili

                 8.      MCHANGANUO: Kuku wa nyama –kwa kiingereza

                 9.      MCHANGANUO: Ufyatuaji tofali za saruji- kwa kiswahili

              10.    MCHANGANUO: Mgahawa wa chakula-Jane Restaurant –kwa Kiswahili

              11.    MCHANGANUO: Mgahawa wa chakula-Jane Restaurant –kwa kiingereza

              12.    MCHANGANUO: Kiwanda cha usagishaji Dona (Usado milling) - kwa Kiswahili

              13.    Kuunganishwa Group la masomo ya kila siku ya fedha na michanganuo mwaka mzima ukitaka. (Mentorship group) (Ni hiyari yako lakini, usipotaka hatukuunganishi)

  

Somo hii limeandaliwa na:

Peter Augustino Tarimo

Mtaalamu wa Michanganuo ya biashara aina zote

Phone/Watsap: 0765553030 au 0712202244

0 Response to "TABIA 9 ZITAKAZOBADILISHA KABISA MAISHA YAKO KIFEDHA"

Post a Comment