Profesa akisoma ripoti ya Baraza kuu la chama cha
Wananchi CUF kwa waandishi wa habari jana, aliweka wazi sababu kubwa
inayochangia mzunguko wa fedha kwa wananchi kuwa mdogo na hatimaye kupelekea maisha
kuwa magumu kwamba ni pamoja na malimbikizo ya madeni ya serikali. Alisema
mzunguko wa pesa unapokuwa mdogo husababisha;
· Wananchi
kukosa uwezo wa kununua bidhaa na huduma mbalimbali hivyo biashara nyingi
kudoda.
· Wamiliki
wa biashara kukosa uwezo wa kuwalipa wateja wanaowasambazia bidhaa na huduma.
· Hali
ya maisha kwa ujumla kuwa ngumu.
Profesa Lipumba aliongeza kwamba mikopo ya mabenki kwenye
sekta binafsi katika mwaka 2017 kwa mujibu wa takwimu za Benki kuu, imepungua
kwa asilimia 3.4
SOMA: Mzunguko mzuri wa fedha ndiyo njia nzuri ya kufikia malengo 2018
SOMA: Mzunguko mzuri wa fedha ndiyo njia nzuri ya kufikia malengo 2018
0 Response to "HALI NGUMU NA MZUNGUKO MDOGO WA PESA, PROFESA LIPUMBA ATOBOA SIRI"
Post a Comment